- 178 views
Mgombea wa ugavana wa Nairobi Johnson Sakaja sasa yuko huru kuwania wadhifa huo katika uchuguzi wa Agosti tisa. Hii ni baada ya jopo la kutatua migogoro la IEBC kuondoa kesi dhidi yake. Sakaja alidaiwa kutumia shahada gushi ya chuo cha Team cha Uganda ili kuidhinishwa na IEBC. IEBC imesema sakaja aliidhinishwa kisheria na kuwa jopo la IEBC halina uwezo wa kuchunguza kashfa hiyo kisheria. Kesi kuhusu shahada gushi dhidi ya Wavinya Ndeti anayewania ugavana kaunti ya Machakos pia imetupiliwa mbali.
Mgombeaaji ugavana Nairobi Johnson Sakaja yuko huru kuwania wadhifa huo mnamo Agosti tisa
- 20 May 2025 - A Garissa MCA is on the spotlight after footage emerged of him storming a restaurant while armed with a knife and then chasing customers around.
- 20 May 2025 - Police in Kirinyaga County have arrested a 25-year-old man for allegedly killing his father at Karumandi in Gichugu Constituency.
- 20 May 2025 - KMPDC has taken decisive action against substandard private healthcare facilities across the country, resulting in the closure of 511 establishments in just three counties.
- 20 May 2025 - An application has been filed in court seeking to prevent the withdrawal of petitions challenging the removal of former Deputy President Rigathi Gachagua.
- 20 May 2025 - Schools in marginalised areas are unable to print or administer tests, leaving learners idle in classrooms.
- 20 May 2025 - Supporters of former Deputy President Rigathi Gachagua on Tuesday held demonstrations in Karatina and Kirinyaga, protesting claims of threats to his life.
- 20 May 2025 - According to the report, Kenya has surpassed the global average time of social media usage.
- 20 May 2025 - The Kenyan has been a huge advocate for the locals' rights in the UK.
- 20 May 2025 - "No nonsense and extremely decisive! Asante sana Mama."
- 20 May 2025 - The training seeks to equip the officers with skills to protect the students.