- 4,562 viewsJenerali Francis Omondi Ogolla alifariki katika ajali ya helikopta ya jeshi siku ya Alhamisi, muda mfupi baada ya kupaa, kaskazini magharibi mwa Kenya. Ogolla alikuwa ametoka kuwatembelea wanajeshi wanaopambana na uhalifu unaotokana na wizi wa mifugo katika eneo hilo. Rais wa Kenya William Ruto ametangaza siku tatu za kuomboleza kifo cha mkuu huyo na maafisa wengine wa jeshi waliofariki katika ajali hiyo. Mshauri wa Usalama wa Taifa Marekani Jake Sullivan, ametuma salamu za rambi rambi kwa rais Ruto, jeshi la Kenya na Wakenya kwa jumla kufuatia kifo cha Jenerali Ogolla na wanajeshi wengine. Sullivan amesema kwamba Ogolla alikuwa mtu muhimu sana katika uhusiano kati ya Marekani na Kenya katika kuhakikisha usalama wa kila mtu. Taarifa ya White House imesema kwamba Ogolla amesaidia sana katika vita dhidi ya ugaidi hasa kutoka kwa kundi la Al-shabaab la Somalia na kuongoza juhudi za kuimarisha usalama wa kanda nzima, na kuongezea kwamba Marekani imefurahishwa na ushirikiano kutoka kwa Jenerali Ogolla aliyepata mafunzo ya urubani nchini Marekani. Jenerali Ogolla atazikwa Jumapili, April 21, nyumbani kwake, Ng’iya, Kaunti ya Siaya. #jenerali #FrancisOmondiOgolla #kifo #ajali #rais #kenya #williamruto #usalamawataifa #JakeSullivan #rambirambi #marekani #miili #maombolezo
Miili ya waliofariki katika ajali ya ndege yawasili Nairobi
- 3 May 2024 - Detectives in Garissa have been granted 14 days to detain a suspected paedophile accused of molesting six children aged between 5 to 9 years.
- 3 May 2024 - The High Court has directed the government and the striking doctors to sign a return-to-work formula to be adopted by the court on Monday, May 6, 2024.
- 2 May 2024 - Three senior officials of the National Cereals and Produce Board (NCPB) charged in the fake fertilizer scandal have been freed on Ksh.1 million cash bail each.
- 2 May 2024 - The government of Kenya on Thursday warned that the Coastal region is likely to be hit by a tropical cyclone now christened ‘Hidaya’ within the next few days.
- 2 May 2024 - Police in Nairobi have arrested a man over his alleged involvement in the supply of 161,000kg of fake gold, which led to duping a Georgian national of over Ksh.822.2 million.
- 2 May 2024 - Kenya Power has announced a blackout affecting most parts of the country due to what it termed as a system disturbance,
- 2 May 2024 - Kenya Power has announced a blackout affecting most parts of the country due to what it termed as a system disturbance,
- 2 May 2024 - Over 1,000 households in Kibra Constituency affected by the ongoing floods on Wednesday received food distributions from First Lady Rachel Ruto.
- 2 May 2024 - The Kenya Meteorological Services has issued a continued heavy rainfall and strong winds advisory starting from Thursday through to Monday next week.
- 2 May 2024 - Temporary suspension affects Ruiru, Embakasi village, Lukenya and Syokimau routes.