Miili ya waliofariki katika ajali ya ndege yawasili Nairobi
Jenerali Francis Omondi Ogolla alifariki katika ajali ya helikopta ya jeshi siku ya Alhamisi, muda mfupi baada ya kupaa, kaskazini magharibi mwa Kenya.
Ogolla alikuwa ametoka kuwatembelea wanajeshi wanaopambana na uhalifu unaotokana na wizi wa mifugo katika eneo hilo.
Rais wa Kenya William Ruto ametangaza siku tatu za kuomboleza kifo cha mkuu huyo na maafisa wengine wa jeshi waliofariki katika ajali hiyo.
Mshauri wa Usalama wa Taifa Marekani Jake Sullivan, ametuma salamu za rambi rambi kwa rais Ruto, jeshi la Kenya na Wakenya kwa jumla kufuatia kifo cha Jenerali Ogolla na wanajeshi wengine.
Sullivan amesema kwamba Ogolla alikuwa mtu muhimu sana katika uhusiano kati ya Marekani na Kenya katika kuhakikisha usalama wa kila mtu.
Taarifa ya White House imesema kwamba Ogolla amesaidia sana katika vita dhidi ya ugaidi hasa kutoka kwa kundi la Al-shabaab la Somalia na kuongoza juhudi za kuimarisha usalama wa kanda nzima, na kuongezea kwamba Marekani imefurahishwa na ushirikiano kutoka kwa Jenerali Ogolla aliyepata mafunzo ya urubani nchini Marekani.
Jenerali Ogolla atazikwa Jumapili, April 21, nyumbani kwake, Ng’iya, Kaunti ya Siaya.
#jenerali #FrancisOmondiOgolla #kifo #ajali #rais #kenya #williamruto #usalamawataifa #JakeSullivan #rambirambi #marekani #miili #maombolezo
26 Jul 2024
- The case of Rex has taken yet another twist, after IPOA failed to identify the officer, now the family says the body was tampered with.
26 Jul 2024
- Kalonzo made the revelations at a gathering in Nyeri County which was also attended by other senior politicians.
26 Jul 2024
- Trusted by President Ruto, the Central Bank insider was tasked with rebuilding the country's coffers, which the Kenyan Kwanza administration claimed were empty in 2022.
27 Jul 2024
- Team Kenya, led by Malkia strikers captain Triza Atuka and African fastest man in 100m Ferdinand Omanyala, was among the over 200 countries which paraded across River Seine during the opening ceremony of the 33rd Olympic Games held on Friday night along…
27 Jul 2024
- The fate of investigations into the death of Rex Masai, who was allegedly felled by police bullets during the Anti-Finance Bill protests, remains uncertain after a key witness backed out of the case.
27 Jul 2024
- Panic in Kihiu Mwiri as residents face eviction
27 Jul 2024
- Azimio leaders accused of plotting coup against Raila Odinga
27 Jul 2024
- Teachers' pay rise plan in limbo as Treasury cuts Sh10b from budget
27 Jul 2024
- My father sold land but we lost it all, man says in Finland saga trial
27 Jul 2024
- A 90-year-old man from Kilifi has been sentenced to 30 years in prison for defiling his 6-year-old stepdaughter. Kea Katana Mdudu is said to have committed the crime on July 16, 2019, in Mwaeba Pangani village, Tsangalaweni, Ganze Sub County, Kilifi…
27 Jul 2024
- Governor Wavinya Ndeti has announced Ksh80 million table banking fund at the grand launch of the women-only, Makima Tithers Sacco. The event, aimed at empowering women economically, saw enthusiastic participation from local women entrepreneurs and…
27 Jul 2024
- Kenya crashed out of the medal bracket after three losses in the preliminaries going down 31-12 to Argentina 21-7 to Australia and a 26-0 demolition by Samoa.
27 Jul 2024
- The club has been left in limbo again but sources insist Everton as a business is “absolutely not in a precarious position”.