- 27 views
Wito wa kukuza uongozi wa kuwatumikia waumini na wananchi katika kanisa na serikali ulitawala wakati wa kutawazwa makasisi Simon Peter Kamomoe na Wallace Ng'ang'a kuwa maaskofu wasaidizi wa dayosisi kuu ya Nairobi ya kanisa katoliki. Kiongozi mkuu Hubertus Matheus Maria van Megen ambaye ni balozi wa kitume nchini Kenya na Sudan Kusini ambaye aliongoza hafla hiyo katika uwanja wa St Mary's Msongari jijini Nairobi alikariri haja ya viongozi wa kanisa kukemea maovu katika jamii na kutoa mwongozo mwema kwa jamii.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Miito yatolewa ya uongozi kanisani
- 3 May 2024 - A 77-year-old man is nursing serious injuries at the Consolata Hospital Mathari in Nyeri after he was attacked by a hyena at Losira village in Oldonyiro, Isiolo County.
- 3 May 2024 - A 77-year-old man is nursing serious injuries at the Consolata Hospital Mathari in Nyeri after he was attacked by a hyena at Losira village in Oldonyiro, Isiolo County.
- 3 May 2024 - The government has released a total of Ksh. 2,082,697,000 for April payment to beneficiaries of the Inua Jamii programme.
- 3 May 2024 - Nairobi Governor Johnson Sakaja has come out to shed light on the expenditure of Ksh.144 million reportedly donated by the French Government to the ‘Dishi Na County’ school feeding programme.
- 3 May 2024 - Journalists urged to seek help when they face death threats.
- 3 May 2024 - He had been in remand since Wednesday night after he failed to raise Sh20m bond.
- 3 May 2024 - He was awarded Sh30,000 for winning the second edition of the competition held in Kisumu.
- 3 May 2024 - The tree was a major tourist attraction.
- 3 May 2024 - Githae said the launch symbolised realisation of his childhood dreams.
- 3 May 2024 - Kenya will serve in the position for the next two years.