- 250 views
Maafisa wa polisi mjini Eldoret wamenasa bangi yenye thamani ya shilingi million 1.5 kwenye nyumba moja ya kibinafsi mjini humo. Bangi hiyo ilipatikana ikiwa imepandwa kwenye nyumba hiyo iliyo kwenye mtaa wa kifahari wa Elgon View. Naibu kamanda wa polisi katika kaunti ya Uasin Gishu Zacchaeus Ngeno amesema kuwa wanaendeleza uchunguzi kubaini washirika wa biashara hiyo haramu. Kwa sasa, Ng'eno anasema wameendeleza msako wa kumtafuta mshukiwa ambaye alitoweka. Aidha ameonya kuwa wako ange kukabiliana na mtu yeyote anayeshiriki biashara haramu ya aina hii
Mimea ya bangi iliyopandwa nyumbani yanaswa Elgon View mjni Eldoret
- - BBC News Swahili ››
- 25 Apr 2024 - Deputy President (DP) Rigathi Gachagua has announced that the multi-agency emergency response center has been activated.
- 25 Apr 2024 - Nandi Senator Samson Cherargei now says his proposal to amend the term limit of elected leaders to 7 years is not sponsored by his UDA party.
- 25 Apr 2024 - According to State House Spokesperson Hussein Mohamed, President Ruto's first stop will be Tanzania, where he will attend celebrations commemorating the 60th anniversary of the union of mainland Tanzania and Zanzibar.
- 25 Apr 2024 - The Kajiado County government has stopped salaries of all striking doctors working in the devolved unit.
- 25 Apr 2024 - The High Court in Nairobi has stopped the release of a Makueni doctor who was this week found guilty of being a member of ISIS terror group and jailed for 12 years.
- 25 Apr 2024 - The noose around Agriculture CS Mithika Linturi continues to tighten as Bumula Member of Parliament Jack Wamboka filed a notice of motion to impeach him.
- 25 Apr 2024 - Bumula MP Jack Wamboka has written to the National Assembly Speaker notifying of his intention to file a motion to impeach Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi.
- 25 Apr 2024 - Tanzania and other countries in East Africa -- a region highly vulnerable to climate change -- have been pounded by heavier than usual rainfall during the current rainy season, with dozens of deaths also reported in Kenya.
- 25 Apr 2024 - Residents of the area, have warned that the area is a potential hazard.
- 25 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes Kenyan midfielder Zech Obiero has extended his contract with English club Leyton Orient by a further two years. The club, […]