- 5,734 viewsDuration: 3:15Ni afueni kwa maafisa wa idara ya polisi na wale wa shirika la huduma kwa vijana NYS kufuatia nyongeza maradufu ya mishahara yao. Afisa wa Polisi mwenye cheo cha chini kabisa sasa atalipwa mshahara wa shilingi 57,700 elfu kila mwezi. Misharaha hiyo itakadiriwa tangu Julai mwaka wa 2024 ambapo ilistahili kuanza kutekelezwa.