- 208 viewsUmoja wa Muungano wa Afrika (OAU), ambayo hivi sasa ni Umoja wa Afrika (AU), uliundwa Mei 25, 1963, huko Addis Ababa, Ethiopia, kukuza umoja na mshikamano kati ya nchi za Afrika na kuchangia katika maendeleo ya uchumi, kijamii na kisiasa barani humo. OAU iliasisiwa na mataifa ya Kiafrika 32 ambayo yalikuwa yamejipatia uhuru. Tukio la kukumbukwa wakati umoja huo unaundwa ilikuwa ni upandaji mti uliofanywa na viongozi wa mataifa hayo 32. Miaka 62 baadaye, miti hiyo bado inaendelea kuwa ni kivutio kinachoonekana huko Addis Ababa, ambapo watu huketi katika vivuli vya miti hiyo. Katika Mkutano wa 38 wa AU, mwandishi wa VOA Kennedy Abate alitembelea eneo la Afrika Park kuchukua picha za miti hiyo iliyopandwa na Mfalme Haile Selassie, Kwame Nkrumah, Jomo Kenyatta, na viongozi wengine waasisi. #AU #africanunion #ethiopia #voa
Miti iliyopandwa na waasisi wa Umoja wa Afrika miaka 62 iliyopita
- 1 May 2025 - Kasipul MP Charles Ong'ondo Were has been shot dead this evening at the City Mortuary round about in Nairobi.
- 1 May 2025 - The government now says it has not introduced any new taxes in the Finance Bill 2025, saying the move is meant to reduce the high cost of living in the country.
- 30 Apr 2025 - Controller of Budget Dr. Margaret Nyakang’o has filed an urgent application at the Nakuru High Court seeking clarity on contentious court orders that have thrown county bursary approvals and disbursements into disarray, delivering a major blow to needy…
- 30 Apr 2025 - Embattled Kenyatta University Vice Chancellor Prof. Paul Wainaina is back at the helm of the institution after the Employment and Labour Relations Court on Wednesday ordered his reinstatement as the institution’s top executive.
- 30 Apr 2025 - The Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP) has released an update on investigations into deaths and injuries that occurred during the Gen Z protests of June 2024, many of which were highlighted in the BBC documentary dubbed ‘Blood…
- 30 Apr 2025 - KMPDU has written to the University of Nairobi (UoN), demanding urgent measures to protect the welfare of medical registrars, who it says are being overworked and unfairly treated.
- 30 Apr 2025 - Two lovers have been arraigned in court in connection with the brutal murder and lynching of a 26-year-old woman in Likoni, Mombasa County.
- 30 Apr 2025 - Prof. Makau Mutua has landed a new job in the Kenya Kwanza administration, becoming the latest beneficiary of the broad-based government agreement between President William Ruto and former Prime Minister Raila Odinga.
- 30 Apr 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has directed that chiefs from five counties grappling with frequent livestock raids be registered and armed for self-defense.
- 30 Apr 2025 - Kasipul MP Ong’ondo Were has died. The MP is reported to have been shot dead by two assailants who had been trailing him on a motorbike. Upon reaching the junction at Nairobi Funeral Home, formerly known as City Mortuary, the pillion passenger of the…