- 208 viewsUmoja wa Muungano wa Afrika (OAU), ambayo hivi sasa ni Umoja wa Afrika (AU), uliundwa Mei 25, 1963, huko Addis Ababa, Ethiopia, kukuza umoja na mshikamano kati ya nchi za Afrika na kuchangia katika maendeleo ya uchumi, kijamii na kisiasa barani humo. OAU iliasisiwa na mataifa ya Kiafrika 32 ambayo yalikuwa yamejipatia uhuru. Tukio la kukumbukwa wakati umoja huo unaundwa ilikuwa ni upandaji mti uliofanywa na viongozi wa mataifa hayo 32. Miaka 62 baadaye, miti hiyo bado inaendelea kuwa ni kivutio kinachoonekana huko Addis Ababa, ambapo watu huketi katika vivuli vya miti hiyo. Katika Mkutano wa 38 wa AU, mwandishi wa VOA Kennedy Abate alitembelea eneo la Afrika Park kuchukua picha za miti hiyo iliyopandwa na Mfalme Haile Selassie, Kwame Nkrumah, Jomo Kenyatta, na viongozi wengine waasisi. #AU #africanunion #ethiopia #voa
Miti iliyopandwa na waasisi wa Umoja wa Afrika miaka 62 iliyopita
- 11 Aug 2025 - The British High Commissioner to Kenya, Neil Wigan is set to depart Kenya at the end of August marking an end to his 2 year tenure at the position.
- 11 Aug 2025 - Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
- 11 Aug 2025 - Police in Eldoret have commenced investigations into an incident where a man received a parcel with three human fingers enclosed with six bullets.
- 11 Aug 2025 - Deputy Inspector General (DIG) of Police Eliud Lagat argues that the decision on whether to charge him over the death of blogger Albert Omondi Ojwang lies exclusively with the Director of Public Prosecutions (DPP) and not the courts.
- 11 Aug 2025 - The video widely shared on TikTok claims that the ’23-year-old’ was attacked during a performance.
- 11 Aug 2025 - The exposé contained footage allegedly showing minors being recruited into commercial sex work in Mai Mahiu
- 11 Aug 2025 - The nutrition survey indicates at least six million Kenyans are unable to afford essential food and non-food expenditures.
- 11 Aug 2025 - The ticketing malady witnessed in the ongoing CHAN 2024 competitions in Kenya has attracted censures from political leaders as many question the transparency of allowing football fans to secure tickets.
- 11 Aug 2025 - The clip of the assault went viral over the weekend.
- 11 Aug 2025 - "I am extremely sorry to be leaving Kenya after a whirlwind two years," Wigan said.