- 79 views
Miungano ya vyuo vikuu vya umma inayowakilishwa na uasu, kusu, na kudheiha imeitaka serikali kuondoa mara moja taasisi za elimu ya juu kutoka kwa mswada wa ubinafsishaji wa shirika la serikali, 2023, ikisema kila Mkenya ana haki ya kupata elimu, na kupinga zaidi wazo la ubinafsishaji wa taasisi hizo. Wakiongozwa na katibu mkuu wa KUSU, Dkt Charles Mukhwaya, miungano hiyo imesema kuwa mswada unaopendekezwa wa ubinafsishaji wa vyuo vikuu ni tishio kwa haki ya elimu nchini. Haya yanajiri huku walimu wa chekechea wakikataa hatua ya SRC kupunguza mshahara wao hadi shilingi.
Miungano ya vyuo vikuu vya umma imeitaka serikali kuondoa taasisi za elimu ya juu
- 18 Aug 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has urged residents of Rift Valley to rally behind President William Ruto in his bid for a second term, arguing that his performance has dwarfed that of his predecessors.
- 18 Aug 2025 - Five suspects are awaiting arraignment after being found in possession of bhang and other stolen items after a crackdown in Kakamega.
- 18 Aug 2025 - In Egypt's Wadi al-Gemal, where swimmers share a glistening bay with sea turtles, a shadowy tourism deal is threatening one of the Red Sea's last wild shores.
- 18 Aug 2025 - US President Donald Trump said reclaiming Crimea or entering NATO were off the table for Ukraine, as President Volodymyr Zelensky arrived in Washington for Monday's talks aimed at ending the war with Russia.
- 18 Aug 2025 - Trapped in a broken system, county workers are denied treatment as insurance scams flourish unchecked.
- 18 Aug 2025 - Murang’a County Senator Joe Nyutu has revealed that it is President William Ruto who gives MPs money to
- 18 Aug 2025 - Journalist Dennis Okari has voiced concerns over the functionality of the Social Health Authority (SHA), suggesting that the
- 18 Aug 2025 - Trump said an agreement should be struck to end the 42-month-long war.
- 18 Aug 2025 - What's your body telling you in the morning?
- 18 Aug 2025 - This comes just days after President Ruto announced a high-level meeting between the party and Kenya Kwanza.