- 79 views
Miungano ya vyuo vikuu vya umma inayowakilishwa na uasu, kusu, na kudheiha imeitaka serikali kuondoa mara moja taasisi za elimu ya juu kutoka kwa mswada wa ubinafsishaji wa shirika la serikali, 2023, ikisema kila Mkenya ana haki ya kupata elimu, na kupinga zaidi wazo la ubinafsishaji wa taasisi hizo. Wakiongozwa na katibu mkuu wa KUSU, Dkt Charles Mukhwaya, miungano hiyo imesema kuwa mswada unaopendekezwa wa ubinafsishaji wa vyuo vikuu ni tishio kwa haki ya elimu nchini. Haya yanajiri huku walimu wa chekechea wakikataa hatua ya SRC kupunguza mshahara wao hadi shilingi.
Miungano ya vyuo vikuu vya umma imeitaka serikali kuondoa taasisi za elimu ya juu
- 1 Jul 2025 - The government is now appealing to parents, religious leaders, and community elders to take a more proactive role in guiding young Kenyans toward peaceful and lawful means of civic engagement.
- 1 Jul 2025 - The decision, made amid mounting public pressure on the state's response to the unrest, was confirmed in a statement issued Monday by Health Cabinet Secretary Aden Duale.
- 1 Jul 2025 - The autopsies, conducted at Kilome MNH Hospital Mortuary, revealed that Garson Mutisya, 33, and Makau Mualuko, 23, sustained fatal gunshot wounds to the chest, with the bullets exiting through their backs.
- 1 Jul 2025 - A 92-year-old British man was convicted on Monday for a rape and murder committed nearly 60 years ago, in one of the UK's longest-running cold cases.
- 1 Jul 2025 - Measles, typhoid outbreaks spur vaccination drive
- 1 Jul 2025 - Grief as Boniface Kariuki dies from gunshot injuries after 12 days in ICU
- 1 Jul 2025 - Isiolo governor's impeachment escalates to full Senate plenary
- 1 Jul 2025 - For Nairobi United to rise, mighty Gor Mahia had to fall
- 1 Jul 2025 - IG Kanja, DCI ordered to produce missing blogger
- 1 Jul 2025 - Inside 16-year pension tussle pitting Stanchart against its 629 ex-staff