- 5 views
Mvutano umeibuka miongoni mwa wanasiasa wa eneo la Mlima kenya huku baadhi ya wabunge wakiongozwa na kiongozi wa wengi katika bunge la kitaifa Kimani Ichun’gwa wakimshutumu naibu rais kwa kuendeleza maslahi ya kibinafsi badala ya maslahi ya kitaifa.Katika hotuba yake kwenye kanisa moja eneo la Tigania Magharibi, Ichungwa alimbeza naibu rais kwa kutumia nafasi yake kujinufaisha yeye binafsi. Matamshi hayo yaliungwa mkono na viongozi walioandamana na Ichungwa waliosema naibu rais anachochea migawanyiko katika eneo la Mlima na taifa kwa jumla na hivyo kukaidi lengo la kuunganisha taifa
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mivutano ya kisiasa yaibuka Mlima Kenya
- 23 Jan 2025 - The Ministry of Health (MoH) has announced that the nationwide recorded MPox cases reached 36 on Thursday after 5 new cases were confirmed in the past week.
- 23 Jan 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has unleashed a new offensive on President William Ruto for allegedly harassing Public Service CS Justin Muturi over his new defiance towards his regime.
- 23 Jan 2025 - Thirdway Alliance party leader Ekuru Aukot has questioned Public Service CS Justin Muturi why he is still part of President William Ruto's government if he blames it for abducting his son.
- 23 Jan 2025 - Gachagua discussed a variety of topics during a session hosted by Kuira wa Kabiru and moderated by several others, including the Social Health Authority (SHA) and the country's current political climate.
- 23 Jan 2025 - Former Bungoma Governor Wycliffe Wangamati, his deputy Charles Ngome and a county official stare at losing Ksh. 50 million if they admit liability to defaming Kimilili MP Didmus Barasa.
- 23 Jan 2025 - Detectives from the Directorate of Criminal Investigations (DCI) have arrested two individuals suspected of stealing from locked motor vehicles parked outside banking halls.
- 23 Jan 2025 - Former deputy president Rigathi Gachagua has criticised President William Ruto’s administration for what he calls a State-backed resurgence of criminal gangs.
- 23 Jan 2025 - Gachagua voiced concerns about the program's inefficiencies and exorbitant costs during a TikTok live session on Thursday morning.
- 23 Jan 2025 - The government was forced to intervene after Kenyans in Malaysia raised concerns.
- 23 Jan 2025 - He made remarks in Busia where he denied Wiper Leader Kalonzo Musyoka’s claims that the bonuses were paid from the exchequer.