Skip to main content
Skip to main content

Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Umma, Nancy Gathungu, ameilaumu serikali ya kitaifa

  • | Citizen TV
    221 views
    Duration: 1:34
    Mkaguzi Mkuu wa Fedha za Umma, Nancy Gathungu, ameilaumu serikali ya kitaifa na zile za kaunti kwa kushindwa kutekeleza mapendekezo ya ukaguzi, akionya kuwa hali hiyo inahatarisha uwajibikaji na utoaji bora wa huduma kwa wananchi.