Mkanda wa Video ukiwaonyesha Wapalestina waliokuwa chini ya ulinzi wakiwa wamevuliwa nguo
Mkanda wa video ukiwaonyesha wanaume wa Kipalestina waliokuwa chini ya ulinzi wakiwa wamevuliwa nguo zote na kubakishwa na chupi huko Gaza, wakikalishwa chini na vichwa vyao kuinamishwa/ wanajeshi wa Israeli wamekusanyika karibu ya watu hao waliowekwa chini ya ulinzi.
"Tunazungumzia watu binafsi waliokamatwa huko Jabalia na Shejaiya (huko Gaza City), kwenye ngome ya Hamas na vituo vya kimkakati,“ Msemaji wa serikali ya Israeli Eylon Levy aliweleza waandishi alipoulizwa kuhusu picha hizo za Wapalestina.
“Tunazungumzia kuhusu umri wa wanaume wapiganaji ambao waliogunduliwa katika maeneo ambayo raia walitakiwa wawe wameondoka wiki kadhaa zilizopita.
Jeshi la Israeli limekuwa likiwataka raia waondoke katika maeneo ambayo ina mipango ya kuendesha operesheni yake baada ya kuanzisha kampeni yake ya kuwatokomeza Hamas huko Gaza kufuatia kikundi cha wanamgambo wa Kiislam kufanya mauaji ndani ya Israel Oktoba 7," alisema.
Husam Zomlot, mkuu wa Ubalozi wa Palestina huko London, alisema kwenye mtandao wa X inaonyesha “ubinadamu unapitia kipindi cha giza nene katika historia.
Mwanasiasa wa Palestina Hanan Ashrawi alisema katika mtandao wa X tukio hilo ni “jaribio la kitendo cha kuwadhalilisha na kuwanyanyasa wanaume wa Kipalestina … walivuliwa nguo na kuonyeshwa kama ushindi wa vita”. - Reuters
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #hospitali #Nasser #wagonjwa #madawa
16 Aug 2025
- Orwoba has been in UDA's bad books since May.
16 Aug 2025
- Homicide detectives have planned exhumations.
16 Aug 2025
- The placement body urged the students to take the message seriously.
16 Aug 2025
- The Kenya Meteorological Department has issued a heavy rainfall advisory warning of intense downpours expected to hit parts of the country from Sunday, August 17, with potential flash floods, lightning strikes, strong winds and property damage.
16 Aug 2025
- A Nigerian man has been sentenced to eight years in prison after he was found guilty of trafficking narcotic drugs worth Ksh.890,800 in Nairobi.
16 Aug 2025
- Wiper party leader Kalonzo Musyoka has accused President William Ruto of stifling the freedom of the Judiciary and right of citizens to political association in recent government crackdowns that target dissent.
16 Aug 2025
- President William Ruto has called on Harambee Stars fans to maintain discipline during the team's Sunday match against Zambia at the Kasarani Stadium in Nairobi.
16 Aug 2025
- The African Union has backed a campaign to end the use by governments and international organisations of the 16th-century Mercator map of the world in favour of one that more accurately displays Africa's size.
16 Aug 2025
- China urged Cambodia and Thailand to continue efforts towards restoring a lasting peace at their border as soon as possible, a Chinese foreign ministry statement said on Friday as it summarised an earlier trilateral meeting.
16 Aug 2025
- Mali's military-led government has arrested two generals and a French national, accusing them of participating in an alleged plot to destabilise the West African nation, according to a government statement and state-owned media.
16 Aug 2025
- Indonesia will launch a broader crackdown on the illegal exploitation of natural resources after a survey found that palm plantations on 3.7 million hectares (14,300 square miles) were operating in violation of the law, President Prabowo Subianto said…
16 Aug 2025
- Orwoba has been in UDA's bad books since May.
16 Aug 2025
- U.S. President Donald Trump’s administration is discussing a refugee admissions cap of around 40,000 for the coming year with a majority allocated to white South Africans, according to two U.S. officials briefed on the matter and an internal refugee…