Skip to main content
Skip to main content

Mkazi auawa kwenye shambulio la kulipiza kisasi Kainuk

  • | Citizen TV
    1,189 views
    Duration: 3:48
    Taharuki imetanda katika Kijiji cha Lorogon Turkana Kusini mpakani mwa kaunti ya Pokot magharibi na Turkana,baada ya wezi wa mifugo kuvamia Kijiji hicho,kuuwa mtu na kutoweka na mifugo .Na kama anavyoarifu Cheboit Emmanuel,wakazi wa Lorogon wanataka serikali iingilie kati kuwasaidia kwani mashambulizi ya kulipizana kisasi yamezidi .