- 476 viewsTimu ya madaktari wa upasuaji wa kimataifa wametembelea hospitali yenye msongamano wa wagonjwa huko Khan Younis Jumanne (Desemba 26), wakati walipowasili Gaza kuwasaidia madaktari wa eneo kuendelea na upasuaji mgumu. Ujumbe huo, ambao unawawakilishi kutoka shirika la “Rahma Worldwide,” taasisi ya hisani isiyokuwa ya kibiashara ya Islamic yenye makao yake Marekani, inajumuisha wataalam sita wa upasuaji. Akram Adel Moushtahi, msemaji wa ujumbe wa “Rahma Worldwide’ unaotembelea European Hospital, alisema madaktari ulimwengu mzima wako tayari kuja katika eneo hili lililozingirwa kusaidia, hususan wale ambao wanaweza kufanya upasuaji, lakini wanataka waruhusiwe kuingia Gaza. Asilimia 20 tu ya hospitali huko Ukanda wa Gaza zinafanya kazi na zote zimeelemewa, alisema Mtaribu wa Timu ya Madaktari wa Dharura wa Shirika la Afya Duniani huko kusini mwa Gaza Jumanne. Jumla ya Wapalestina 21,110 wameuawa na wengine 55,243 wamejeruhiwa katika mashambulizi ya Israeli huko Gaza tangu Oktoba 7, wizara ya afya Gaza ilisema Jumatano. Idadi hiyo inajumuisha Wapalestina 195 waliouawa na 325 waliojeruhiwa katika kipindi cha saa 24, wizara hiyo imeongeza. - Reuters #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #GadiEizenkot #wazirimkuu
Mkurugenzi wa hospitali ya Gaza European akiwapokea madaktari bingwa kutoka Marekani
- - FEASSA games day 2 ››
- - Consumer trends ››
- - Co-op Bank results ››
- 16 Aug 2025 - US President Donald Trump and Russian counterpart Vladimir Putin will meet on Friday in Alaska in a high-risk summit that could prove decisive for the future of Ukraine.
- 16 Aug 2025 - The Nairobi Hospital has announced the suspension of its recent price adjustments following consultations with key insurance partners, who had initially withdrawn their services, leaving patients stranded.
- 16 Aug 2025 - Homicide detectives on Friday returned to Kwa Binzaro in preparation for the planned exhumation of eight graves that had been discovered late last month.
- 15 Aug 2025 - Kericho Governor Erick Mutai has been impeached. The embattled Governor was ousted after putting up a spirited defense throughout the day before the County Assembly.
- 15 Aug 2025 - A group of youth from Jacaranda in Embakasi who attended last Saturday’s State House empowerment event claim they never received the promised motorbikes and other items.
- 15 Aug 2025 - Nairobi Senator Edwin Sifuna has challenged President William Ruto to name those he accused of soliciting money from Cabinet Secretaries and Governors, citing that such remarks require proof.
- » Kajiado girls betrayed at birth: Minors face Obstetric Violence, sky-high bills and brutal neglect15 Aug 2025 - Kajiado is marked as one of the counties where maternal and sexual reproductive health violations and obstetric violence cases are rampant.
- 15 Aug 2025 - The DP on Friday graced Tiaty Economic Empowerment engagement at Chemolingot town in the constituency where he avowed the rolling out of key projects geared at improving the lives of the residents.
- 15 Aug 2025 - Charity Nyambura, recently single, does not do butterflies
- 15 Aug 2025 - Videos seen by the Star showed members physically restraining one another while others exchanged harsh words