- 476 viewsTimu ya madaktari wa upasuaji wa kimataifa wametembelea hospitali yenye msongamano wa wagonjwa huko Khan Younis Jumanne (Desemba 26), wakati walipowasili Gaza kuwasaidia madaktari wa eneo kuendelea na upasuaji mgumu. Ujumbe huo, ambao unawawakilishi kutoka shirika la “Rahma Worldwide,” taasisi ya hisani isiyokuwa ya kibiashara ya Islamic yenye makao yake Marekani, inajumuisha wataalam sita wa upasuaji. Akram Adel Moushtahi, msemaji wa ujumbe wa “Rahma Worldwide’ unaotembelea European Hospital, alisema madaktari ulimwengu mzima wako tayari kuja katika eneo hili lililozingirwa kusaidia, hususan wale ambao wanaweza kufanya upasuaji, lakini wanataka waruhusiwe kuingia Gaza. Asilimia 20 tu ya hospitali huko Ukanda wa Gaza zinafanya kazi na zote zimeelemewa, alisema Mtaribu wa Timu ya Madaktari wa Dharura wa Shirika la Afya Duniani huko kusini mwa Gaza Jumanne. Jumla ya Wapalestina 21,110 wameuawa na wengine 55,243 wamejeruhiwa katika mashambulizi ya Israeli huko Gaza tangu Oktoba 7, wizara ya afya Gaza ilisema Jumatano. Idadi hiyo inajumuisha Wapalestina 195 waliouawa na 325 waliojeruhiwa katika kipindi cha saa 24, wizara hiyo imeongeza. - Reuters #Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #GadiEizenkot #wazirimkuu
Mkurugenzi wa hospitali ya Gaza European akiwapokea madaktari bingwa kutoka Marekani
- - 🔴TV47 LiVE: News Now ››
- 18 Jun 2024 - Russian President Vladimir Putin will travel to North Korea on Tuesday for a "friendly" visit, the Kremlin announced, as the West suspects Pyongyang of supplying Moscow with weapons for its Ukraine offensive.
- 18 Jun 2024 - Malawians gathered to mourn Vice President Saulos Klaus Chilima amid heavy security on Monday, a day after people from his home district launched protests over the government's response to the plane crash that killed him and eight others last week.
- 18 Jun 2024 - The Italian coastguard searched off southern Italy Monday for survivors or the bodies of dozens of migrants feared missing, after two shipwrecks left 11 people dead.
- 18 Jun 2024 - Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu has dissolved the six-member war cabinet, an Israeli official said on Monday, in a widely expected move that came after the departure from the government of the centrist former general Benny Gantz.
- 18 Jun 2024 - The calls come as challenges continue to plague differently-abled children in accessing education at the basic level.
- 18 Jun 2024 - Osoro says MPs within the party are fed up with the DP's arrogance and misconduct and want the President to take action against him once and for all.
- 18 Jun 2024 - The county bosses want President William Ruto to accord them more time to consult further before they can come to the table with their counterparts from the four Mount Kenya counties that grow the herb.
- 18 Jun 2024 - WHO warns of urgent need for innovative antibiotics despite pipeline growth
- 18 Jun 2024 - Reforms loom as State firms hoard billions amid biting cash crunch
- 18 Jun 2024 - Magistrate leaves behind family, budding career and broken hearts