- 1,068 views
Mkurugenzi wa Idara ya ujasusi Nurdin Haji, ameonya kuwa upungufu wa bajeti unaweza kudhoofisha juhudi za usalama wa taifa. Akizungumza katika kikao cha Kamati ya Ulinzi Bungeni, Haji amesisitiza kuna haja ya kufadhili kikamilifu vyombo vya usalama vinavyolinda nchi. Idara ya Ujasusi NIS, ambayo imepewa Shilingi bilioni 55 katika bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 inaonya kuwa fedha hizo hazitoshi na upungufu huo unahatarisha vyombo vya usalama vinavyokabiliana na vitisho vipya kama uhalifu wa mtandaoni na pia ugaidi. NIS ilikuwa imeomba shilingi bilioni 65 katika bajeti..
Mkurugenzi wa NIS Noordin Haji asema hakuna vifaa vya ulinzi vya kutosha
- 22 Jul 2025 - In the remote, sun-scorched landscapes of northern Kenya, Marsabit County is emerging as a proud example of a region battling the harsh realities of climate change. Once flush with green pastures and abundant livestock, the area is now grappling with…
- 22 Jul 2025 - Since President William Ruto (UDA/Kenya Kwanza) and ODM leader Raila Odinga entered into a political pact to form a broad-based government on March 7, 2025, the country’s political landscape has undergone a dramatic transformation. This shift has been…
- 22 Jul 2025 - Broken promise: Inside collapse of UNOPS Habitat Heights project
- 22 Jul 2025 - Principals warn of crisis in transition to Grade 10
- 22 Jul 2025 - Murder in Ward 7B: Mysterious Kalombotole and KNH horror
- 22 Jul 2025 - Ground shifting beneath Ruto, Raila feet in Western
- 22 Jul 2025 - Wave of unrest shakes schools as learners protest abuse, neglect
- 22 Jul 2025 - Mo Ibrahim cautions against Ruto's push for African credit rating agency
- 22 Jul 2025 - CAF gives nod to Kenya, Uganda and Tanzania after completing checks
- 22 Jul 2025 - Don't harm my husband, woman pleads with police after alleged abduction