- 124 views
Afisa mkuu wa tume ya maadili na kupambana na ufisadi hapa nchini Abdi Mohammud ameahidi kukabiliana na visa vya ufisadi na kuhakikisha kuwa mapato yote yanayotokana na ufisadi yametwaliwa na kurejeshwa kwa serikali. Mohammed ambaye amechukua wadhifa huo kufuatia kuondoka kwa Twalib Mbarak, alitoa matamshi hayo wakati wa hafla ya kumuapisha iliyoongozwa na jaji mkuu Martha Koome.Mohammud pia aliahidi kuwa wakati wa muhula wake wa miaka 6, atahakikisha kuwa tume hiyo imedumisha uadilifu wake na pia kutatua tatizo la hongo zinazotolewa barabarani.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mkuu wa EACC aahidi kushughulikia kesi za ufisadi haraka
- - Duniani Leo ››
- 19 Aug 2025 - Vehicles used to smuggle goods to be handed to the State, says judge
- 19 Aug 2025 - Justice on sale: How racketeers at Busia courts are exploiting suspects, widows
- 19 Aug 2025 - DPP challenges the acquittal of terror suspects in explosives case
- 19 Aug 2025 - Parliamentary group meeting turned stormy due to leaders' sustained accusations of bribery against the National Assembly.
- 19 Aug 2025 - Group C- Painful exit awaits either Uganda, Algeria, or South Africa
- 19 Aug 2025 - What was presented to rice farmers as a solution to weeds has now become a nightmare.
- 19 Aug 2025 - It is important for Kenyans who intend to apply for a U.S. visa to be aware of recent
- 19 Aug 2025 - He’s reportedly determined to uncover who sidelined him and why, given his influential position.
- 19 Aug 2025 - Land has a vital role in sustaining human communities, nurturing diverse ecosystems, and regulating the climate of our planet.
- 19 Aug 2025 - Hustler-in-Chief woos vast youth voting bloc with empowerment schemes, start-up giveaways and skills, credit and jobs