- 61 viewsWakati Wanaharakati kutoka Mashirika Yasiyo ya Kiserikali yakipinga pembeni mwa mkutano wa hali ya hewa, Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika mkutano huo ameyashinikia mataifa siku ya Ijumaa kufikia makubaliano wakati mazungumzo yakianza tena, huku zikiwa zimebaki siku nne tu kwa mashauriano kuondoa tofauti zao juu ya hatima ya vyanzo vya asili vya nishati. Wakati mazungumzo ya Umoja wa Mataifa ni nadra kuamalizika kwa wakati, rais wa COP28 Sultan Al Jaber ameweka matarajio ya lengo ya kuhitimisha mkutano wa huko Dubai uwe ni saa tano asubuhi kwa saa huko siku ya Jumanne. #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Mkuu wa UN ayashinikiza mataifa kumaliza tofauti zao juu ya hatma ya vyanzo vya asili vya nishati
- - Thika | AREA CODE ››
- 18 May 2024 - The Ministry of Health has warned of possible outbreaks of waterborne diseases and other infections in schools following the recent floods experienced in most parts of the country.
- 18 May 2024 - Cases of bird flu have been confirmed among wild fowl in western China, the agriculture ministry said on Saturday, as concerns grow over a U.S. outbreak infecting cattle herds.
- 18 May 2024 - EACC has recommended the prosecution of politician Cyrus Jirongo, FKF President Nick Mwendwa and former Sports PS Amb. Peter Kaberia.
- 18 May 2024 - Fico was gravely injured after being shot in the small town of Handlova on Wednesday
- 18 May 2024 - The Ministry of Health Saturday issued an advisory on possible health risks in schools during heavy rains and potential flooding. The Principal Secretary for Public Health and Professional Standards Mary Muthoni is urging all school administrators,…
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - Angry residents of Kaminji village in Mwea-West, Kirinyaga County on Friday morning arrested four suspected donkey thieves and set one of their vehicles on fire.
- 18 May 2024 - The suspects had been slaughtering 30 donkeys near River Sagana.
- 18 May 2024 - Detectives noted they were in the process of conducting investigations.
- 18 May 2024 - The MP asked Raila to heed to the cries of suffering Kenyans