Skip to main content
Skip to main content

Mlipuko wavunja vioo vya gari katika mji wa Karaj Iran

  • | BBC Swahili
    6,935 views
    Duration: 31s
    Tazama dirisha la gari hili lilivyovunjika baada ya wimbi la milipuko lililosababishwa na mashambulizi katika mji wa Karaj nchini Iran, huku Marekani na Israel wakiendelea na mashambulizi yao dhidi ya nchi hiyo. #bbcswahilii #israel #marekani Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw