Moto, milipuko yamulika angani kaskazini Israel Hezbollah iliposhambulia
Majeshi ya Israeli yamefanya mashambulizi ya angani Jumatano kusini mwa Lebanon katika mashambulizi ya hivi karibuni yanayolenga wanamgambo wa Hezbollah wakati kikundi cha Hezbollah cha Lebanon kilipoishambulia Julai 15 kwa makombora ambayo mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel iliyatungua katika mji wa Kiryat Shmona.
Jeshi la Israel lilisema mashambulizi yake yalilenga miundombinu ya Hezbollah, na kwamba majeshi ya Israeli pia yalitumia makombora kujibu vitisho vya Hezbollah katika eneo hilo.
Hezbollah ilifyatua makombora kuelekea Israel, huku jeshi la Israeli likisema limezuia baadhi ya makombora hayo wakati mengine yalianguka katika eneo la wazi bila ya kuleta uharibifu au vifo.
Kiongozi wa Hezbollah Sayyed Hassan Nasrallah alisema wakati akitoa hotuba Jumatano kuwa kikundi cha wanamgambo hao watalenga maeneo mapya ndani ya Israel iwapo majeshi ya Israeli yataendelea kuua raia.
Shambulizi lililofanywa na Israeli Jumanne liliuua raia watano wa Syria huko kusini mwa Lebanon.
Mapigano ya mpakani kati ya Israel na Hezbollah yameongeza wasiwasi kuhusu mgogoro mkubwa zaidi kuzuka katika kanda hiyo huku majeshi ya Israeli yakiwa pia yanapigana na Hamas ndani ya Ukanda wa Gaza.
Waziri wa Ulinzi wa Marekani Lloyd Austin na Waziri wa Ulinzi wa Israeli Yoav Gallant walijadili mapigano yanayo endelea kati ya Israel na Hezbollah wakati wa mazungumzo waliofanya kwa njia ya simu Jumanne, Wizara ya Ulinzi ya Marekani ilieleza.
Msemaji wa Pentagon Major General Pat Ryder alisema katika taarifa yake kuwa mawaziri hao wa ulinzi pia walizungumzia kuhusu kivuko cha muda kilichojengwa na Marekani katika pwani ya Gaza ili kuwezesha misaada ya kibinadamu kuwafikia raia wa Palestina. -AFP, Reuters
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #mwandishi #aljazeera #maghazi #wahouthi #marekani #uingereza #shambulizi #dhamar #yemen #hospitali #nasserhospital #lebanon #hezbollah #wanamgambo
17 Jul 2025
- The party has also declared its stance on the Saba Saba protests.
17 Jul 2025
- The review was prompted by the relative calm in the region.
17 Jul 2025
- Fuel prices increased by at least Ksh8.
17 Jul 2025
- The United Democratic Movement (UDM) on Wednesday expelled two nominated Members of the County Assembly of Isiolo, Fozia Jibril and Amina Omar.
17 Jul 2025
- Cameroon's 92-year-old President Paul Biya, the world's oldest head of state, has overhauled the military's top ranks in what analysts say is an effort to ensure the armed forces back his bid for an eighth term after a public outcry.
17 Jul 2025
- Eswatini's government said on Wednesday that it was holding five third-country nationals deported from the United States in isolated prison units under a deal with President Donald Trump's administration, but sought to eventually send them home.
17 Jul 2025
- A group of 20 mostly Democrat-led U.S. states filed a lawsuit on Wednesday seeking to block the Trump administration from terminating a multibillion-dollar grant program that funds infrastructure upgrades to protect against natural disasters.
17 Jul 2025
- The former Communist Party head of Tibet was handed a suspended death sentence on Wednesday for taking bribes worth almost Ksh.6.4 billion, a court in China said.
17 Jul 2025
- Russia said Wednesday it had seized 820 kilograms (1,800 pounds) of cocaine hidden under a shipment of bananas, calling it its largest bust of drugs from Latin America this year.
17 Jul 2025
- Aim is to strengthen cross-border trade within the East African Community
17 Jul 2025
- Impacts of severe weather have resulted in casualties and significant damage to property and infrastructure.
17 Jul 2025
- The Ministry of Health has moved to allay growing fears over a possible outbreak of a mysterious disease in Mombasa County, following the deaths of four people in the Mikindani area.
17 Jul 2025
- The party has also declared its stance on the Saba Saba protests.