- 9,871 viewsDuration: 1:16Wanafunzi tisa wanaoshukiwa kusababisha moto uliotokea katika Shule ya wasichana ya Utumishi na kusababisha vifo vya wanafunzi 16 wataendelea kusalia rumande wakisubiri uamuzi siku ya Jumatano, Juni 3 kama wataachiliwa kwa dhamana au kuendelee kuzuiliwa hadi uchunguzi ukamilike. Ronclif Odit anaelezea Video: Brian Mala #bbcswahili #kenya #utumishigirls Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw