Moto wa msituni uliendelea kuwaka katika eneo lote la kifahari la Los Angeles Januari 7, na kuharibu nyumba na kusababisha msongamano wa magari barabarani wakati watu 30,000 walipokuwa wakiondoka huku wamefunikwa na moshi mkubwa ambao uko katika sehemu kubwa ya mji huo.
Ekari zisizopungua 1,262 za eneo la Pacific Palisades lililoko kati ya Santa Monica na Malibu liliungua, maafisa walisema, baada ya kuwa tayari wametahadharisha kuwepo moto wenye hatari kubwa kutokana na upepo wenye nguvu uliokuwa ukipiga eneo hilo kutokana na kipindi cha hali ya hewa yenye mimea iliyokauka.
Moto huo ulienea kwa kasi kwa kipindi cha saa chache wakati maafisa wakitahadharisha kuwepo hali ya upepo mkali iliyotarajiwa kutokea usiku kucha, ikipelekea wasiwasi kuwa maeneo jirani mengi zaidi yangeweza kulazimika kukimbia maeneo yao.
#marekani #la #wildfires #voaswahili #santamonica #malibu #makazi #california #losangeles
1 May 2025
- The 76-year-old born into a humble family of 10 children is the first clergyman from the west African country to receive a red hat, having been made cardinal in 2003 by John Paul II.
1 May 2025
- National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has described Kasipul Member of Parliament Charles Were, who was shot dead on Wednesday evening in Nairobi, as a fearless and committed public servant.
1 May 2025
- In a Wednesday statement released by the Office of the Inspector General, the incident occurred at approximately 7:30 p.m. on Wednesday along Ngong Road, near the City Mortuary roundabout.
1 May 2025
- The defeated Democrat told supporters the apparent "chaos" of the last three months was actually the realization of a long-cherished plan by conservatives who are using Trump to twist the United States to their own advantage.
1 May 2025
- South Africa's President Cyril Ramaphosa is setting up a judicial commission of inquiry to establish whether attempts were made to prevent the investigation or prosecution of apartheid-era crimes, his office said on Wednesday.
1 May 2025
- Iran on Wednesday executed a man convicted of espionage for Israel's Mossad spy agency and involvement in the 2022 assassination of a Revolutionary Guards colonel, the judiciary said.
1 May 2025
- National Police Service (NPS) has launched investigations into the fatal shooting of Kasipul MP Charles Were, which occurred Wednesday evening
1 May 2025
- Swedish police detained a 16-year-old early on Wednesday on suspicion of murdering three people in a hair salon in the city of Uppsala, prosecutors said.