Moto wa msituni uliyoleta maafa umewaacha maelfu bila ya makaazi
Moto wa msituni uliendelea kuwaka katika eneo lote la kifahari la Los Angeles Januari 7, na kuharibu nyumba na kusababisha msongamano wa magari barabarani wakati watu 30,000 walipokuwa wakiondoka huku wamefunikwa na moshi mkubwa ambao uko katika sehemu kubwa ya mji huo.
Ekari zisizopungua 1,262 za eneo la Pacific Palisades lililoko kati ya Santa Monica na Malibu liliungua, maafisa walisema, baada ya kuwa tayari wametahadharisha kuwepo moto wenye hatari kubwa kutokana na upepo wenye nguvu uliokuwa ukipiga eneo hilo kutokana na kipindi cha hali ya hewa yenye mimea iliyokauka.
Moto huo ulienea kwa kasi kwa kipindi cha saa chache wakati maafisa wakitahadharisha kuwepo hali ya upepo mkali iliyotarajiwa kutokea usiku kucha, ikipelekea wasiwasi kuwa maeneo jirani mengi zaidi yangeweza kulazimika kukimbia maeneo yao.
#marekani #la #wildfires #voaswahili #santamonica #malibu #makazi #california #losangeles
7 Feb 2025
- The latest directive follows the recent ban on harvesting the nuts.
7 Feb 2025
- KRA disposes goods not lawfully removed from the Customs Warehouse after a certain period.
7 Feb 2025
- The renowned journalist and media personality had a career spanning more than five decades.
7 Feb 2025
- Drama unfolded on Friday in Kutus town in Kerugoya as angry residents demanded justice after a man allegedly severed another man's genitals over a Ksh 50 debt.
7 Feb 2025
- Veteran broadcast journalist Leonard Mambo Mbotela is dead at 84.
7 Feb 2025
- President Donald Trump's administration plans to keep fewer than 300 staff at the U.S. Agency for International Development out of the agency's worldwide total of more than 10,000, four sources told Reuters on Thursday.
7 Feb 2025
- The National Police Service (NPS) has clarified that Sadam Buke, an individual from Isiolo County, was arrested and not abducted as alleged by reports.
7 Feb 2025
- Kenya has made significant strides in the agricultural sector since the inception of the subsidized fertilizer program about three years ago. The program has not only been a transformative force in enhancing agricultural production, but has also been…
7 Feb 2025
- The United States government will continue to support the Multinational Security Support (MSS) mission in Haiti led by Kenyan security forces despite US President Donald Trump's 90-day pause on foreign aid.
7 Feb 2025
- Leonard Mambo Mbotela, veteran journalist and renowned media personality, has died at the age of 85. Mbotela, whose voice became synonymous with Kenyan radio and television, was not only a pioneering broadcaster but also a man with a deep love for music—…
7 Feb 2025
- During the meeting, Ambassador Geerts was presented with a petition calling for the cancellation of the state visit due to alleged human rights violations in Kenya.
7 Feb 2025
- The EastAfrican was born out of the Aga Khan's long-held vision of a cross-border publication.
7 Feb 2025
- Obama urged Congress to oppose the executive order, emphasizing that USAID has played a crucial role in fighting disease, feeding children, and promoting goodwill worldwide for the past six decades.