Mpango wa Israel kukalia Gaza wapingwa.
Baraza la mawaziri la Israel limeidhinisha pendekezo la Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kuidhibiti kwa ukamilifu na kukalia Ukanda wa Gaza.
Hatua hii imepata pingamizi kutoka ndani na nje ya Israel.
Kiongozi wa upinzani ametaja kama hatua ambayo inaathari kubwa kuliko manufaa kwa Israel huku Uingereza na Ujerumani zikikashifu vikali mpango huo.
Marekani ambayo ni mshirika mkubwa wa Israel imesalia kimya kuhusu mpango huu ambao una uzito mkubwa hasa kwa misingi ya hatma ya mamilioni ya Wapalestina ambao wanaishi Gaza.
@RoncliffeOdit anachambua kwa kina suala hili kwa pamoja na taarifa nyingine nyingi saa tatu usiku wa leo, mubashara kwenye Dira ya Dunia TV kupitia ukurasa wa YouTube, BBc Swahili.
#bbcswahili #israel #gaza
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
8 Aug 2025
- An accusing finger has been pointed at Kenya Railways following the deadly Morendat accident.
8 Aug 2025
- It is reported that the bus overturned after the driver lost control.
8 Aug 2025
- The two, linked to the Fighting Brutality and Impunity Group, were released together with constable Hiram Kimathi.
9 Aug 2025
- Former Chief Justice David Maraga has strongly rejected the recently formed committee mandated to implement the 10-point agenda and oversee the National Dialogue Committee (NADCO) report, describing it as a deceitful political maneuver that insults the…
8 Aug 2025
- The black box of the ill-fated AMREF plane that crashed in Mwihoko, Kiambu County on Thursday has been recovered, with Ministry of Transport officials expected to try and draw information from it on the possible cause of the incident.
8 Aug 2025
- Kwale County has promoted 67 out of 68 eligible doctors, fulfilling a key commitment in the Return-to-Work Formula (RTWF) agreement signed on July 8, 2025.
8 Aug 2025
- Twenty one people have been confirmed dead following a Friday evening crash at Coptic area on the Kisumu-Kakamega road.
8 Aug 2025
- Speaking during a development tour of Moyale in Marsabit County, the Deputy President stated that the country had put an end to the practice of excluding certain regions from national issues.
8 Aug 2025
- President William Ruto has heaped praise on former Prime Minister Raila Odinga, hailing him as a patriotic Kenyan whose legacy and contributions have played a vital role in shaping the country's governance.
8 Aug 2025
- According to the senator, every aspect of the President’s one-day itinerary was public and transparent.
8 Aug 2025
- Help from a therapist is an important tool for emotional healing after a miscarriage.
8 Aug 2025
- He allegedly sought the amount to remove a video from his TikTok account.
8 Aug 2025
- Makini Schools, a member of the ADvTECH Group, has expanded its operations in Kenya through the acquisition of Regis Runda Academy.