- 9 views
Seneta wa Trans Nzoia Allan Chesang ameahidi kukuza talanta ya vijana katika eneo hilo kwa kuzindua ligi maalum ya Allan Chesang iliyoratibiwa kuanza wikendi hii na kutamatika tarehe 25 mwezi huu. Ligi hiyo inayolenga kuwawezesha vijana kwa kukabiliana na matumizi ya dawa za kulevya, kupunguza uhalifu na kukuza talanta, itajumuisha michezo mbali mbali pamoja na voliboli, soka na tenisi.ligi hiyo itashuhudia washindi katika kitengo cha wanaume wakizawadiwa shilingi milioni moja, timu itakayochukua nafasi ya pili ikizawadiwa shilingi laki tano huku washinidi katika kitengo cha kinadada wakizawadiwa shilingi laki tatu.chesang ameshirikiana na shirikisho la soka nchini (fkf) kwenye uzinduzi wa ligi hiyo ambapo maafisa wa shirikisho hilo watatoa mafunzo maalum kwa wachezaji watakoshiriki. __
Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.'
*About TV47* 'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES. __ For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047. __
Connect with us:
Website: https://www.tv47.digital/ Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE Twitter: https://twitter.com/tv47news Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/ TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke Telegram: https://t.me/tv47_ke WhatsApp: 0797 047 047 __
Mpango wa ukuzaji wa talanta Kaunti ya Trans Nzoia
- - Outro ››
- 11 May 2025 - Members of Parliament allied to Kenya Kwanza have vowed to pass the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) list of nominees once it is tabled in Parliament.
- 11 May 2025 - Pope Leo XIV condemned the spectre of a "third world war" in his first Sunday address, addressing international crises just days after becoming the Catholic Church's new leader.
- 11 May 2025 - Police in Mokowe, Lamu West, Lamu County, are investigating an incident where a GSU constable reportedly shot dead a local school teacher and her daughter before turning the gun on himself.
- 11 May 2025 - The perennial posting of intern doctors, a longstanding issue pitting the Ministry of Health against the Kenya Medical Practitioners, Pharmacists and Dentists Union (KMPDU), was the main cause of the strike that lasted nearly two months last year.
- 11 May 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has expressed confidence in securing justice over his removal from office.
- 11 May 2025 - Columbia University has suspended more than 65 students for their role in a pro-Palestinian demonstration that forced the shutdown of the main campus library, a school official said on Friday.
- 11 May 2025 - Bangladesh’s interim government has banned all activities of the Awami League, the political party of deposed former Prime Minister Sheikh Hasina, under the country’s Anti-Terrorism Act, citing national security concerns.
- 11 May 2025 - The design is common in major towns and cities across the globe.
- 11 May 2025 - The former governor nearly engaged in a physical altercation with police.
- 11 May 2025 - Ruto’s UDA and Museveni’s NRM to strengthen working relationship by sharing leadership tips.