- 8,602 viewsDuration: 4:11Mradi wa LAPSSET unaendelea kuonekana kama moja ya miradi mikubwa zaidi ya miundomsingi humu nchini . Mradi huo unalenga kuunganisha bandari ya Lamu na nchi za Ethiopia na Sudan Kusini kupitia mtandao wa barabara, reli na mabomba ya mafuta, hatua inayotarajiwa kuimarisha uchumi ya maeneo ya kaskazini mwa Kenya na kisiwa cha Amu.