- 5 views
Serikali ya kaunti ya Garissa imekamilisha mradi wa maji wa Modogashe ambao unatarajiwa kunufaisha zaidi ya watu elf-30. Mji wa Mogogashe umekuwa ukishuhudia uhaba mkubwa wa maji na kuwaacha wakazi kutegemea maji yanayosambazwa na malori au kutoka kwenye visima vidogo. Gavana wa Garissa Nathif Jama ambaye alizindua mradi huo unaohusisha mabwawa na mifereji ya kusambaza maji alisema kampuni ya huduma za maji na usafi ya Garissa itasimamia mradi huo kuhakikisha wakazi wa Modogashe wanapaa maji bila kutatizika.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mradi wa maji wa Modogashe wakamilishwa
- 20 Jul 2025 - The President dismissed claims that he had over-promised Kenyans, saying the pledges he made will be fully implemented and are raising the country’s ambition for transformation.
- 20 Jul 2025 - Activist to appear in court on Monday following his arrest on Saturday night.
- 20 Jul 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has called on politicians to refrain from making statements he says could compromise the operations of the newly reconstituted Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC).
- 20 Jul 2025 - Leaders have reaffirmed the national government’s commitment to improving road infrastructure in Nyandarua County.
- 20 Jul 2025 - The new fees to take effect in the next few weeks.
- 20 Jul 2025 - Voters headed to the polls earlier on Sunday for the tightly-contested upper house election.
- - Ruto to parents: If you surrender your children to the police, what do you expect?
- 20 Jul 2025 - Mwangi is currently being held at Pangani Police Station and will be arraigned on Monday.
- 20 Jul 2025 - Her roof and wall-leaking structure, which had been her home, was located in a swampy area.
- 20 Jul 2025 - Police used tear gas to disperse the leaders and crowd which had already gathered.