- 48 views
Kaunti ya Makueni, inayofahamika kama eneo ukame lenye uhaba wa maji, sasa linaandikisha historia mpya kupitia mpango wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Mpango huu wa Bwawa la Wautu Kyangaati katika Wadi ya Ilima unabadilisha mandhari ya eneo hili kutoka ardhi kavu hadi mashamba ya kijani yanayonawiri. Mwanahabari wetu wa mazingira, Opicho Chemtai, ametuandalia taarifa ifuatayo kuhusu jinsi juhudi za kukarabati mto wa msimu zinarejesha sio mandhari mtu, bali pia matumaini na mavuno.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mradi wa maji wabadilisha mandhari Ilima, Makueni
- 29 Jul 2025 - The tribeless tyranny of numbers: Mapping Kenya's 2027 voter universe
- 29 Jul 2025 - Pipeline staff threaten to down tools, cite breach of agreement
- 29 Jul 2025 - State of Kenya's economy: What's really going on?
- 29 Jul 2025 - Technopolis Bill positions Kenya as tech powerhouse, senators say
- 29 Jul 2025 - Ex-dock officials decry plot against KPA boss
- 29 Jul 2025 - IMF flags Sh175b fuel levy plan over debt, transparency risks
- 29 Jul 2025 - Patients in peril as Baringo public health facilities reel from neglect
- 29 Jul 2025 - Gachagua and Kalonzo allies allege plot to assassinate them
- 29 Jul 2025 - KenGen's wind power project in Marsabit faces new hurdles
- 29 Jul 2025 - More action is needed to address growing mental health crisis