- 4,217 viewsDuration: 2:40Mrengo wa ODM wa linda mwananchi sasa unasema utaandaa mkutano sambamba wa umma tarehe 27 mwezi huu, wakati wa mkutano wa wajumbe wa ODM. Wanasiasa hawa pia wakitaka ukomavu wa siasa kufuatia matamshi ya matusi yaliyoshuhudiwa kwenye majukwaa ya siasa karibuni.