- 2,178 viewsDuration: 2:04Viongozi wa mrengo wa linda mwananchi wamepuuza ripoti ya kamati ya maridhiano iliyowasilishwa hapo jana mbele ya wabunge wa ODM na UDA. Viongozi hao wakiongozwa na seneta wa Nairobi Edwin sifuna wamesema kuwa maswala yote yaliyotakiwa kutekelezwa bado hayajaangaziwa na serikali.