Mruka parachuki anasa juu ya paa uwanjani
Tazama namna mruka parachuti huyu alivyoachwa akining'inia kwenye paa la uwanja baada ya kunasa wakati wakishusha mpira kwa ajili ya kuanza kwa mechi ya mchezo wa raga.
Wengine wawili waliokuwa wakiruka na parachuti kwa ajili ya kupeleka mpira wa mechi uwanjani walifanikiwa kutua salama katika uwanja wa Stade de Toulouse, kabla ya mechi ya Kombe la Mabingwa kati ya Sale na Toulouse, lakini mwenzao alipoteza mwelekeo na akabaki akining’inia kwenye paa baada ya kunasa juu.
Mechi ilicheleweshwa kwa dakika 40 kabla ya kuanza.
#bbcswahili #mechi #raga
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
16 Jun 2025
- The police constable who was first arrested in connection to Ojwang's death has spoken up.
16 Jun 2025
- The weatherman has also listed regions that are expected to experience cold temperatures.
16 Jun 2025
- The late Albert Ojwang's father revealed details of a phone conversation with the president.
17 Jun 2025
- The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) has arraigned the former Garissa County Government Chief Protocol Officer over claims of forging academic certificates to fraudulently secure employment and siphon millions in public funds.
17 Jun 2025
- Speaking publicly for the first time since the call, Meshack Ojwang’, father to the deceased, revealed that the Head of State personally reached out to offer his sympathies and pledged KSh 2 million to support the grieving family.
17 Jun 2025
- Lagat’s journey from humble beginnings to the upper echelons of law enforcement paints the portrait of a man who steadily climbed the ranks of the National Police Service through technical skill, strategic appointments, and academic discipline.
17 Jun 2025
- Kenya's Divas show grit in loss to Namibia
17 Jun 2025
- Men should be at the forefront if fight against femicide is to be won
17 Jun 2025
- Collaboration, knowledge sharing is key in shaping Kenya's urban future
17 Jun 2025
- Meeting state force with care: How medics, lawyers and counsellors sprang to action
17 Jun 2025
- Rotten at the top: Inside the deadly secrets of Central Police Station
17 Jun 2025
- Embattled Lagat bows to pressure, leaves office
17 Jun 2025
- Mukhwana: I was following my boss' orders