- 43 views
Gavana wa kaunti ya Kwale Fatuma Achani ametangaza kusitishwa kwa ufadhili wa kimasomo katika kaunti hiyo kutokana na agizo la mahakama lililofuatia rufaa iliyowasilishwa na vuguvugu la Katiba Institute. Achani anasema agizo hilo la mahakama lilijiri baada ya mdhibiti wa bajeti Margaret Nyakang'o kufafanua kwamba ufadhili wa masomo sio sehemu ya majukumu yaliyogatuliwa kuambatana na ibara ya nne ya katiba ya Kenya. Akiongea katika makao makuu ya kaunti ya Kwale huko Matuga Achani alisema mpango huo chini ya mradi wa Elimu ni Sasa ambao ulizinduliwa mwaka 2013, umekuwa nguzo kuu ya kuleta mabadiliko katika maisha ya wanafunzi wengi kutoka familia zisizoweza kujimudu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Msaada wa kimasomo wasitishwa Kwale
- 18 Mar 2025 - Israeli airstrikes pounded Gaza and killed more than 400 people, Palestinian health authorities said on Tuesday, ending weeks of relative calm after talks to secure a permanent ceasefire stalled.
- 18 Mar 2025 - The family of Margaret Nduta is holding on to hope after she was spared from a scheduled execution on Monday evening.
- 18 Mar 2025 - Makueni Governor Mutula Kilonzo Jr has unveiled a County Technical Working Team to assess the effects of oil spillage in Thange Ward, Kibwezi East Constituency.
- 18 Mar 2025 - Ghana’s President John Mahama’s verified X account was hacked for 48 hours, with cybercriminals using it to promote a fraudulent cryptocurrency project, his spokesperson confirmed on Tuesday.
- 18 Mar 2025 - Continued rainfall is expected across several parts of Kenya this week, the Kenya Meteorological Department has announced.
- 18 Mar 2025 - Nominated Senator Gloria Orwoba on Tuesday afternoon walked out of the Senate after declining to read the prescribed apology following her month-long suspension for breaching the Parliamentary Code of Conduct.
- 18 Mar 2025 - The Senate Committee on Roads has scheduled a three-day retreat in April to assess the progress of Nairobi’s Urban Renewal Project, which spans over ten estates in the city.
- 18 Mar 2025 - Kiharu MP Ndindi Nyoro declined to speak about his political future, saying time for that will come.
- 18 Mar 2025 - The government through the Higher Education Loans Board [HELB] has disbursed Ksh.1.56B to students and trainees for tuition and upkeep.
- 18 Mar 2025 - The Eldoret High Court has issued a warrant for the arrest of Ibrahim Rotich, the main suspect in the 2021 brutal murder of former World Cross-Country Champion Agnes Tirop.