- 54 views
Msajili wa vyama vya kisiasa Ann Nderitu amepuzilia mbali madai kwamba anaingiza siasa kama mpatanishi kwenye mzozo ulio katika chama cha Jubilee. Nderitu akidhibitisha kufutilia mbali kwa usajili wa Jeremiah Kioni kama katibu mkuu wa chama hicho na wa naibu wake David Murathe amesema ofisi yake inasubiri uamuzi wa mwisho wa mahakama Kufuatia maagizo ya mahakama yaliyozuia kuondolewa kwao ofisini.Haya yanajiri huku Jeremiah Kioni akiishutumu seriklai kwa kupanga njama ya kusambaratisha chama hicho akitishia kuitisha maandamano ya kulinda uhuru wa chama hicho.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channell: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #jubileeparty #darubini
Msajili wa vyama vya kisiasa asimama kidete kuhusu kuondolewa kwa katibu mkuu wa Jubilee
- - Taarifa za Biashara ››
- 3 May 2024 - A 77-year-old man is nursing serious injuries at the Consolata Hospital Mathari in Nyeri after he was attacked by a hyena at Losira village in Oldonyiro, Isiolo County.
- 3 May 2024 - A 77-year-old man is nursing serious injuries at the Consolata Hospital Mathari in Nyeri after he was attacked by a hyena at Losira village in Oldonyiro, Isiolo County.
- 3 May 2024 - The government has released a total of Ksh. 2,082,697,000 for April payment to beneficiaries of the Inua Jamii programme.
- 3 May 2024 - Nairobi Governor Johnson Sakaja has come out to shed light on the expenditure of Ksh.144 million reportedly donated by the French Government to the ‘Dishi Na County’ school feeding programme.
- 3 May 2024 - Journalists urged to seek help when they face death threats.
- 3 May 2024 - He had been in remand since Wednesday night after he failed to raise Sh20m bond.
- 3 May 2024 - He was awarded Sh30,000 for winning the second edition of the competition held in Kisumu.
- 3 May 2024 - The tree was a major tourist attraction.
- 3 May 2024 - Githae said the launch symbolised realisation of his childhood dreams.
- 3 May 2024 - Kenya will serve in the position for the next two years.