- 1,349 views
Wizara ya afya inawataka watu walioiba mitungi ya kemikali yenye sumu aina ya sodium cyanide kutoka kwenye lori lililopinduka katika eneo la rironi kaunti ya Kiambu, kuisalimisha mara moja. Huku msako unaoshirikisha maafisa wa afya wa serikali kuu na kaunti ukiendelezwa katika nyumba eneo hilo, naibu mkurugenzi mkuu wa afya dkt sultani matendechero, amewaonya waliochukua mitungi hiyo kuwa ina sumu kali na ni hatari kwa maisha yao. pia wakazi wametahadharishwa kuhusu uwezekano wa kemikali hiyo kuvuja na kuenea katika maeneo yaliyoko karibu na eneo la tukio.
Msako wa kutafuta sumu iliyoibwa unaendelea Kiambu
- 2 Jul 2025 - Uganda will require fuel distributors to blend locally produced ethanol into all petrol sold in the country starting next January, the energy ministry said on Tuesday, a measure that could reduce the East African nation's petroleum import bill.
- 2 Jul 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i has broken his silence on some of the most high-profile unresolved cases during his time in office, including the discovery of bodies in River Yala and the murder of then Independent Electoral and…
- 2 Jul 2025 - A Taliban diplomat will on Tuesday assume the role as Afghanistan's ambassador to Russia, the Islamist group's first top envoy to Moscow since seizing power in 2021, Russian state media reported.
- 2 Jul 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang'i has weighed in on last year's Gen Z-led demonstrations that saw protesters breach Parliament, citing that the protests would have taken a different trajectory had he been occupying the security docket.
- 2 Jul 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i has questioned the efficiency of the National Intelligence Service (NIS) in light of claims that goons were hired to infiltrate recent anti-government protests, saying the agency should have known and…
- 2 Jul 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Dr. Fred Matiang’i has rubbished claims that he is a political project of former President Uhuru Kenyatta, saying he is yet to align himself with any political party as he continues to consult across the political…
- 2 Jul 2025 - Gen Z protesters not saboteurs; they're patriots of the highest order
- 2 Jul 2025 - Bank ordered to pay Sh284m withdrawn from Koinange's family account
- 2 Jul 2025 - There is need to rethink how protests are conducted
- 2 Jul 2025 - Report: Development partners to scale down focus on Kenya