- 4,318 viewsDuration: 2:33Mshukiwa mkuu kwenye sakata ya kuwasafirisha wakenya kwenda kupigana nchini Urusi atazuiliwa hadi ijumaa wiki ijayo ambapo ombi la kuachiliwa kwa dhamana litasikizwa. Huku Festus Omwamba akisalia korokoroni, familia zaidi zinaendelea kuililia serikali kuwarejesha jamaa zao au miili yao nchini.