Skip to main content
Skip to main content

Mshukiwa wa kesi ya shakahola aeleza alivyouza shamba kwa shilingi 700,000

  • | Citizen TV
    427 views
    Duration: 3:19
    Mshukiwa wa mauwaji ya Shakahola aliyekiri makosa aliieleza mahakama ya Mombasa jana, jinsi alivyouza shamba lake Nairobi na kujipata msituni Shakahola. Enos Amanya alifichuwa kwamba kulikuwa na zaidi ya watu 900 msituni na mfungo ulianza baada ya wazee wa baya mwaro kuwataka waondoke msituni. Na kama anavyoarifu francis mtalaki amanya ambaye kesi yake inaendelea leo, alishindwa kujizuia alipokuwa akieleza mahakama jinsi watoto wake walivyofariki akitoa ushahidi kortini jana .