- 425 viewsDuration: 1:10Polisi mjini Nyeri wanamsaka Mfanyabiashara anayedaiwa kuwachinja na kuwauza Ng’ombe na Mbuzi wa Kuibwa, baada ya vipande vya nyama kupatikana nyumbani kwake eneo la Mathari. Kwenye operesheni inayoendeshwa kuwasaka wezi wa mifugo, polisi waliisema kuwa Wanyama hao huchinjwa na kuuziwa wakazi kiholela bila ya kupimwa, na hivyo kuwaweka kwenye hatari ya kupata magonjwa.