- 2,216 views
Hatma ya mshukiwa wa mauaji ya dereva wa magari ya safari rally Asad Khan, Maxine Wahome bado haijulikani baada ya mkurugenzi wa mashtaka kukosa kutoa mwelekeo kuhusu kesi. Afisa w aupelelezi ameieleza mahakama kuwauchunguzi kuhusu kesi hiyo umekamilika na faili kuwasilishwa kwa mkurugenzi wa mashtaka kupendekeza makosa. Maxine Wahome whajafunguliwa mashtaka yoyote kufikia sasa, jambo ambalo limepingwa na wakili wa familia ya Assad Khan, Danstan Omari. Haya ni huku mmiliki wa nyumba ambako wawili hao walikuwa wakiishi akiiomba mahakama kuruhusiwa kukodisha nyumba hiyo kwani kufikia sasa anakadiria hasara ya shilingi 269,500. Hata hivyo, afisa w aupelelezi amesema kuwa hayo yatafanyika Wahome atakapofunguliwa mashtaka. Mahakama itatoa aumuzi wake tarehe 15 mwezi ujao.
Mshukiwa wa mauaji ya dereva wa magari ya safari rally Asad Khan, Maxine Wahome afikishwa mahakamani
- 13 Aug 2025 - President William Ruto on Wednesday assented to the County Allocation of Revenue Bill, 2025, and the County Public Finance Laws (Amendment) Bill, 2023.
- 13 Aug 2025 - The ruling follows a petition filed by four individuals, among them Nakuru-based surgeon Dr. Benjamin Gikenyi, challenging the legality of the committee appointed to audit pending NHIF claims.
- 13 Aug 2025 - Senior officials from the British Army Training Unit Kenya (BATUK) failed to appear in Parliament on Tuesday to answer questions about the atrocities their soldiers have committed in the country.
- 13 Aug 2025 - The Universities' Academic Staff Union (UASU) has once again issued a seven-day strike notice to Moi University over delayed salaries and other agreements that have not been honored.
- 13 Aug 2025 - Dr. Duncan Oburu Ojwang has declined President William Ruto's nomination to the position of Chairperson of the Kenya National Commission on Human Rights (KNCHR).
- 13 Aug 2025 - Dr. Duncan Oburu Ojwang has declined President William Ruto's nomination to the position of Chairperson of the Kenya National Commission on Human Rights (KNCHR).
- 13 Aug 2025 - Nairobi County is set to receive the largest allocation.
- 13 Aug 2025 - A requiem mass for the victims will be held at Naki AIC Church in Nyakach on Thursday.
- 13 Aug 2025 - The attack took place during a patrol in the Intensive Protection Zone of Tsavo West National Park.
- 13 Aug 2025 - The attack took place during a patrol in the Intensive Protection Zone of Tsavo West National Park.