- 1,770 views
Mshukiwa wa ugaidi aliyekamatwa kwa tuhuma za kusafirisha vifaa vya kijeshi na vilipuzi vinavyoaminika kuwa vya wanamgambo wa alshaabab huko Somalia, ameachiliwa kwa dhamana ya shilingi milioni moja. Zakariya kamal sufi kutoka mombasa anadaiwa kununua vifaa hivyo vya kijeshi nchini uchina kwa niaba ya magaidi wa kundi la Al Shabab na kuvisafirisha katika kontena tatu huko Mogadishu, Somalia. Aidha kontena mbili hazijulikani zilivyokotoweka
Mshukiwa wa ugaidi aachiliwa kwa dhamana ya Ksh.1M
- - Duniani Leo ››
- 11 Aug 2025 - Elevated prolactin during pregnancy can reduce intimacy.
- 11 Aug 2025 - NCIC says hate speech in rallies undermines leadership and violates constitutional values.
- 11 Aug 2025 - The Devolution Conference 2025 kicks off tomorrow and will run till Friday.
- 11 Aug 2025 - Like Jomo Kenyatta and Kwame Nkrumah, 'saviour' Ruto has disappointed
- 11 Aug 2025 - 28 years in bed: Naomi's relentless fight for dignity, one day at a time
- 11 Aug 2025 - Devolution system's good, bad and ugly 12 years later
- 11 Aug 2025 - Between refuge and ruin: How Dadaab's survival battle is fuelling an eco crisis
- 11 Aug 2025 - Mr Gachagua accuses the National Assembly of abusing the judicial process and undermining the integrity of the Supreme Court.
- 11 Aug 2025 - Judiciary handling a list of disputes that could significantly shape the political landscape.
- 11 Aug 2025 - Public service hiring, long criticised for nepotism and tribal bias, now openly fuelled by bribes.