- 2,191 views
Mswada wa fedha wa mwaka 2023 leo unatarajiwa kuwasilishwa katika bunge la kitaifa kusomwa mara ya pili. Kamati ya Fedha katika bunge hilo inatarajiwa kuuwasilisha pamoja na marekebisho kadhaa. Mswada huu unawasilishwa huku macho yote yakielekezwa bunge kufuatia tetesi na pingamizi kali zilizojitokeza. Viongozi wa upinzani wameshikilia kuwa wataupinga mswada huo huku wale wa kenya kwanza wakisisitiza kuwa wataupitisha.
Mswada wa fedha watarajiwa kuwasilishwa bungeni kwa somo la pili leo
- 3 Aug 2025 - Beadwork empowers northern Kenyan women with steady income, reduces household conflict, and funds conservation.
- 3 Aug 2025 - Elisha Asumo was charged in absentia as he awaits a decision from Moroccan courts on whether to extradite him to the US.
- 3 Aug 2025 - While the State House tour appeared leisurely, political observers argue it was loaded with symbolism.
- 3 Aug 2025 - It's emerging that Sh65 billion in contractor payments has been released already
- 3 Aug 2025 - Dream of liberal left-of-centre movement in jeopardy due to party split over government truce
- 3 Aug 2025 - Constitutional timelines for exercise lapsed in March 2024 due to absence of commissioners
- 3 Aug 2025 - In a man's world, she raised the headroom for women, lit the way
- 3 Aug 2025 - Harambee Stars start chase for Sh452.2 million prize money
- 3 Aug 2025 - Individuals and companies perceived to be critical of government are getting KRA calls. From accounts being closed to tax certificates being revoked taxman is on overdrive
- 3 Aug 2025 - A former prime minister of Mali was charged Friday with "undermining the credibility of the state" following a social media post about his visits to political prisoners, a Bamako prosecutor said.