- 1,424 views
Familia moja kutoka Bonchari kaunti ya Kisii inalilia haki ya mwana wao aliyefariki akifanya mtihani wa kidato cha nne katika shule ya upili ya wasichana ya Ogande kule Homa Bay. Kwa mujibu wa wazazi wa BERYL Nyaboke, mwana wao hakuwa na dalili zozote za ugonjwa tangu kujiunga na shule hiyo. Na kama anavyoripoti mwanahabari wetu Chrispine Otieno uongozi wa shule hiyo ya Ogande umekataa kuzungumzia swala hilo kwa sasa.
Mtahiniwa wa KCSE afariki katika njia tatanishi Homa Bay
- 20 Jun 2025 - Russia on Thursday warned the United States not to take military action against Iran, amid speculation over whether Washington would enter the war alongside Israel.
- 20 Jun 2025 - Kenya’s Ministry of Public Service and Human Capital Development issued a directive recently, giving senior civil servants to attain master’s degrees in two years or lose their jobs. The directive affecting senior officers of grade CSG5 and above,…
- 20 Jun 2025 - President William Ruto’s admission that his communication team may not align with his desires rings true. The Albert Ojwang tragedy offered an opportunity for emotional public engagement during collective national grief, an opportunity the president…
- 20 Jun 2025 - 'Small Faith' eyes big show in Paris Diamond League tonight
- 20 Jun 2025 - Eight new GMO cassava varieties set for final trials
- 20 Jun 2025 - Why it's time for urgent reforms in Kenya's sports sector
- 20 Jun 2025 - Murkomen has reason to smile, giving 'promise of timeline' to equip CCTV cameras
- 20 Jun 2025 - NOC-K cinema continues as court ruling disrupts elections again
- 20 Jun 2025 - Government seeks additional Sh18.9 billion to fund shortfalls in 2024-2025 FY budget
- 20 Jun 2025 - Inside the return of militias, political violence