- 976 views
Mtangazaji mkongwe na mashuhuri Leonard Mambo Mbotela ameaga dunia. Kulingana na familia Mbotela amefariki leo mwendo wa saa tatu unusu asubuhi wakati akipokea matibabu katika hospitali ya Niarobi West. Mbotela alikuwa mtanagazi wakutajika wa shirika la habari la VOK kabla ya kubadili jina na kuwa KBC. Alianza utangazaji wa kipindi maarufu cha je, huu ni uungwana? mwaka wa 1996, kipindi ambacho kilivuma kwa miaka 55.
Mtangazaji mkongwe na mashuhuri Leonard Mambo Mbotela aaga dunia.
- 23 Mar 2025 - President William Ruto's tray of disregarded promises continues to weigh heavy after he onboarded more advisors to his administration amid austerity measures.
- 23 Mar 2025 - Njuri Ncheke, the Council of Elders for the Meru has welcomed the nomination of lawyer Linda Kiome as the new Deputy Governor for Meru County.
- 23 Mar 2025 - With just two stages remaining, the Welshman is spearheading Toyota’s charge
- 23 Mar 2025 - How to restore the once mighty Safari Rally to it's former glory
- - Kenya restructures petroleum exploration blocks to align with global practices
- 23 Mar 2025 - Several others were also left injured in the early morning attack.
- 23 Mar 2025 - Kisiang'ani's woes in the city amid sweet village chronicles
- 23 Mar 2025 - Patrick Mariru summoned by Justice Chigiti to personally appear before court to defend himself.
- 23 Mar 2025 - Two Form Four students died after a septic tank collapsed at Ramba Boys High School in Rarieda, Siaya County.
- 23 Mar 2025 - According to police, four others were injured during the incident which occurred at about 5am in Biyamadhow area.