- 1,061 views
Huku Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne (KCSE) ukianza rasmi kote nchini, wanafunzi 52 kutoka Shule ya Merishaw iliyoko Isinya, Kaunti ya Kajiado, wanaufanya mtihani huo kwa mara ya kwanza.
Wanafunzi na walimu wameonyesha imani kubwa, wakilenga kuweka viwango vya juu kwa watahiniwa wa baadaye katika shule hiyo.
Wanafunzi hawa ni miongoni mwa watahiniwa 14,058 wanaofanya mtihani wa KCSE katika vituo 166 kwenye Kaunti ya Kajiado. Idara ya Elimu ya Kaunti hiyo imeripoti kuwa mtihani umeanza vizuri bila changamoto yoyote kwenye vituo vyote.
Mtihani wa KCSE Waanza, Shule ya Merishaw yafanya kwa mara ya Kwanza
- - Duniani Leo ››
- 14 Jul 2025 - Naomi Angela Wafula from Vipingo Ridge Golf Resort in Kilifi makes history in Kenya’s golf history after fighting for her place in the big boys category by becoming the first female member of the Professional Golfers of Kenya (PGK). Her consistency in…
- 14 Jul 2025 - Kwale County has intensified efforts to combat drug and substance abuse, with more than 1,500 youth undergoing methadone treatment as part of a wider initiative to rescue and rehabilitate addicts across the region. Speaking during a public awareness…
- 14 Jul 2025 - The two leaders command a solid support base key in determining the presidential contest.
- 14 Jul 2025 - Missed vaccination risks a child's life as eradicated diseases return
- 14 Jul 2025 - Ruto's multiple problems and why they are not likely to fizzle out soon
- 14 Jul 2025 - Missing bullets in demo victims spark questions
- 14 Jul 2025 - How trigger-happy police officers conceal evidence that incriminates them
- 14 Jul 2025 - I'm not the dad: Man wants name removed from birth certificate
- 14 Jul 2025 - Why State has resorted to terrorism charges
- 14 Jul 2025 - Kenya's exports brace for Sh13b blow as Trump tariffs resume