- 531 views
Mtu mmoja amefariki huku wengine 30 wakiachwa bila makao baada ya moto kuteketeza makaazi yao katika kijiji cha Reli eneobunge la Kikuyu kaunti ya Kiambu. Moto uliripotiwa kijijini humo usiku wa kuamkia leo, ambapo nyumba 18 ziliteketezwa. Aliyefariki ni mtoto wa miaka mitatu. Aidha wakaazi wanaripoti kupoteza mali ya thamani isiyojulikana. Waathiriwa wamelaumu maafisa wazima moto kutoka kaunti ya Kiambu kwa kuchelewa kushghulikia dharura. Uchunguzi wa chanzo cha moto huo umeanzishwa
Mtoto afariki baada ya nyumba kuteketea moto Kikuyu
- - LIVE || TV47 WIKENDI ››
- - Duniani Leo ››
- 20 Apr 2024 - A man set himself on fire on Friday outside the New York courthouse where Donald Trump's historic hush-money trial was taking place as jury selection wrapped up, but officials said he did not appear to have been targeting Trump.
- 20 Apr 2024 - Some 800,000 people in a Sudanese city are in "extreme and immediate danger" as worsening violence advances and threatens to "unleash bloody intercommunal strife throughout Darfur," top U.N. officials warned the Security Council on Friday.
- 20 Apr 2024 - A 45-year-old man tragically lost his life while trying to cross a flooded swamp in Kiamaciri village, Mutithi ward, Mwea West Sub-county, Kirinyaga County.
- 20 Apr 2024 - Kenya Urban Roads Authority (KURA) has asked for immediate action to improve drainage and reconstruct the failed section at Katani centre.
- 20 Apr 2024 - The employees were grilled over various allegations by the EACC.
- 20 Apr 2024 - Colonel Keitany died on his wedding anniversary
- 20 Apr 2024 - Government splashes Sh100m for tourists comfort zones in counties
- 20 Apr 2024 - Ray of hope as doctors' talks with the government gain momentum
- 20 Apr 2024 - Only bold commitment to action, not conferences will end wage bill crisis
- 20 Apr 2024 - What Africa can learn from recent Dubai floods