Skip to main content
Skip to main content

Mtu mmoja afariki na wengine wanane wajeruhiwa baada ya mgodi wa dhahabu kuporomoka jijini Maclif, K

  • | Citizen TV
    3,092 views
    Duration: 1:52
    Mtu mmoja amefariki huku wengine 8 wakijeruhiwa baada ya mchanga kuporomoka kwenye mgodi wa dhahabu na kuwafunika katika kijiji cha Maclif eneo bunge la Shinyalu kaunti ya Kakamega. Majeruhi walikimbizwa katika hospitali ya misheni ya mukumu baada ya kuokolewa. Kutokana na mkasa huo Wachimba mgodi wenye hamaki walivamia timbo jirani na kuiteketeza kwa madai kwamba walisababisha mchanga huo kuporomoka kwa kulipua baruti.