Skip to main content
Skip to main content

Mtu mmoja aliuawa kwenye mzozo wa ardhi machakos

  • | Citizen TV
    1,032 views
    Duration: 2:41
    Mtu mmoja alipigwa risasi na kuuawa eneo la Katani kaunti ya Machakos kwenye mzozo wa ardhi ambao pia ulisababisha kujeruhiwa kwa watu wengine wawili. Samuel Muiruri Maina alipigwa risasi kufuatia tofauti kati ya mtu anayedai umiliki wa ardhi na kundi la vijana eneo hilo