- 5,064 views
Waziri mwenye mamlaka makuu Musalia Mudavadi amedai kwamba viongozi wa upinzani akiwemo kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka, wanachelewesha mchakato wa usaili wa makamishna wa tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kwa kuiomba mahakama kuu kupitia mawakala wao kusitisha shughuli hiyo. Mudavadi ambaye pia ni waziri wa mashauri ya nchi za kigeni pia hakumsaza Martha Karua na washirika wake waliorejeshwa kutoka nchini Tanzania, akisema walishughulikiwa kwa mujibu wa sheria za nchi hiyo. Mudavadi alizungumza wakati wa hafla ya mazishi huko Malava, kaunti ya Kakamega.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mudavadi: Kufurushwa kwa Karua kutoka Tanzania kulizingatia sheria
- 20 Jun 2025 - Police officer James Mukhwana will be detained for a period of 21 days to allow for a thorough investigation into allegations surrounding the murder of blogger Albert Ojwang’.
- 20 Jun 2025 - A Nairobi court has dismissed a case filed against web developer and activist Rose Njeri, citing a defective charge sheet.
- 20 Jun 2025 - A Nairobi court has dismissed a case filed against web developer and activist Rose Njeri, citing a defective charge sheet.
- 20 Jun 2025 - Murang’a Governor Irungu Kang’ata has nominated former Teachers Service Commission (TSC) CEO Nancy Njeri Macharia to serve as the Chairperson of the Murang’a County Public Service Board.
- 20 Jun 2025 - Julie, a transgender woman, fled Uganda after her own family had her house burned down, but her initial hopes of finding refuge in neighbouring Kenya are fading.
- 20 Jun 2025 - The High Court has declared Section 29(c) of the Law of Succession Act unconstitutional, citing gender-based discrimination against widowers.
- 20 Jun 2025 - He said without a nation, "our dreams" are just wishes.
- 20 Jun 2025 - Once an elite presidential guard, now faces investigation for a deadly shooting.
- 20 Jun 2025 - These parcels, consisting of government houses, were acquired by private individuals in collusion with public officials.
- 20 Jun 2025 - The new centre on Rhapta Road is part of the hospital’s broader strategy to expand access to high-quality care. It is supported by on-site ultrasound services, a fully equipped laboratory, and a pharmacy.