Skip to main content
Skip to main content

Murkomen amuonya Gachagua dhidi ya vurugu

  • | Citizen TV
    10,258 views
    Duration: 1:09
    Waziri wa usalama Kipchumba Murkomen amemuonya kinara wa chama cha DCP Rigathi Gachagua dhidi ya kuvuruga amani atakapokuwa anarejea nchini alhamisi wiki hii. Murkomen ametishia kukamatwa kwa Gachagua iwapo shughuli zake za kisiasa siku hiyo zitachangia uharibifu wa mali