- 62 viewsUshirika unaounga mkono demokrasia nchini Sudan wa Forces of Freedom and Change umesaini makubaliano ya awali na jeshi ili kurejesha utawala wa kiraia baada ya mapinduzi ya mwaka jana. Makubaliano haya yanaruhusu uongozi wa mpito wa kiraia wa miaka miwili kuelekea uchaguzi mkuu. Lakini maandamano ya kupinga makubaliano hayo yameanza katika mji mkuu, Khartoum, na mengine zaidi yanatarajiwa nchi nzima, huku watu wakitaka wale walioongoza mapinduzi wawajibishwe. Sudan imeingia katika ukosefu wa uthabiti wa kisiasa kwa karibu miaka minne baada ya rais Omar al-Bashir kuondolewa madarakani kufuatia maandamano ya umma. - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Muungano unaopendelea demokrasia wasaini mkataba wa serikali ya mpito ya kiraia
- - Duniani Leo ››
- - 🔴 TV47 Live ››
- 12 Jul 2025 - Gaza's civil defence agency said Israeli forces killed 18 people on Friday, including 10 who were waiting for aid in the south of the war-ravaged territory.
- 12 Jul 2025 - At least seven people have been confirmed dead following a tragic road accident involving a lorry transporting tea leaves and a public service matatu at Kijauri Market in Borabu Constituency.
- 12 Jul 2025 - A son of Mexican drug kingpin Joaquin "El Chapo" Guzman pleaded guilty to drug charges in Chicago on Friday in a deal struck with prosecutors in return for a reduced sentence.
- 12 Jul 2025 - There is a need to raise awareness on gender–land–climate nexus to strengthen the role of women parliamentarians and duty bearers in gender-responsive land and climate policy-making.
- 12 Jul 2025 - A court in Madagascar has sentenced a man to surgical castration for the rape of a child in 2024, a judicial official said, in the first such measure on the Indian Ocean island.
- 12 Jul 2025 - Ukrainian drone and shelling attacks killed three people in Russia on Friday, while Russian bombardments on eastern Ukraine forced the evacuation of a maternity centre in Kharkiv and wounded nine.
- 12 Jul 2025 - This came after KeRRA and KeNHA bosses stepped down in quick succession.
- 12 Jul 2025 - Kenya experiences an influx of fake goods into its market on a regular basis.
- 12 Jul 2025 - PLP party leader Martha Karua has officially declared her intention to run for the presidency in the 2027
- 12 Jul 2025 - Pope Leo XIV's childhood home has been sold to the village where he grew up, which intends to make it a historical site, local media reported Friday.