- 62 viewsUshirika unaounga mkono demokrasia nchini Sudan wa Forces of Freedom and Change umesaini makubaliano ya awali na jeshi ili kurejesha utawala wa kiraia baada ya mapinduzi ya mwaka jana. Makubaliano haya yanaruhusu uongozi wa mpito wa kiraia wa miaka miwili kuelekea uchaguzi mkuu. Lakini maandamano ya kupinga makubaliano hayo yameanza katika mji mkuu, Khartoum, na mengine zaidi yanatarajiwa nchi nzima, huku watu wakitaka wale walioongoza mapinduzi wawajibishwe. Sudan imeingia katika ukosefu wa uthabiti wa kisiasa kwa karibu miaka minne baada ya rais Omar al-Bashir kuondolewa madarakani kufuatia maandamano ya umma. - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Muungano unaopendelea demokrasia wasaini mkataba wa serikali ya mpito ya kiraia
- 19 Apr 2024 - A section of city leaders allied to the Kenya Kwanza government have slammed Nairobi Governor Johnson Sakaja's administration, emphasising that it will be remembered in Kenya's history as the most incompetent and morally degenerate county government.
- 19 Apr 2024 - As Kenyans mourn the passing of Chief of Defence Forces General Francis Ogolla who died in a tragic helicopter crash on Thursday, two families from Kirinyaga are also grieving the loss of their kin who were among the nine military personnel killed…
- 19 Apr 2024 - Captain Litali was CDF Ogolla's close aide and friend.
- 19 Apr 2024 - Kenya marks one year this week since the grisly discovery of hundreds of bodies of victims of a doomsday starvation cult, in a case that provoked horror across the world.
- 19 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes British Army Training Unit Kenya (BATUK) has issued condolences to the departed Chief of Defence Forces (CDF) General Francis Ogolla. […]
- 19 Apr 2024 - Kenya has in recent years witnessed a high increase in the prices of consumer goods.
- 19 Apr 2024 - Petitioner wants the court to quash Mr Muturi’s opinion and the circular issued.
- 19 Apr 2024 - British Army Training Unit Kenya (BATUK) has issued condolences to the departed Chief of Defence Forces (CDF) General Francis Ogolla. In a statement on Friday, April 19, 2024, BATUK expressed sincere condolence to the entire republic, describing Ogolla…
- 19 Apr 2024 - He spoke to three children at Cheptulel Boys High School, encouraged them to work hard.
- 19 Apr 2024 - The compilation of an environment and ecology code is being steadily advanced so that it can be submitted for review by the Standing Committee of the National People’s Congress, China’s top legislature, within this year, an official said on Friday. Yang…