- 102 views
Muungano wa Kenya Kwanza umekosoa Azimio la umoja kwa kususia mazungumzo ya kutafuta maridhiano kati ya serikali na upinzani. Mwenyekiti George Murugara amesema upande wa serikali uko tayari kuendelea na mazungumzo hayo wakati wowote. Muungano wa Azimio umetangaza kikao cha wabunge wake jumanne wiki ijayo ili kutoa mwelekeo mpya. Wakati huohuo kamati ya ushirikiano ya vyama vya kisiasa nchini, PPLC, imemtetea msajili wa vyama vya siasa Ann Nderitu kuhusiana na utata unaozunguka cha Jubilee ambao ni mojawapo ya maswala yaliyosababisha mazungumzo yasitishwe.
Muungano wa Kenya Kwanza umekosoa Azimio la umoja kwa kususia mazungumzo
- - LIVE| TV47 MATUKIO ››
- 4 May 2024 - UDA National Executive Committee deletes provision for three deputy leaders.
- 4 May 2024 - The tree was a major tourist attraction.
- 4 May 2024 - Medics walk out of meeting after refusing to sign the return to work formula.
- 4 May 2024 - Heavy rains battering Brazil's southernmost state of Rio Grande do Sul have killed 31 people, local authorities said on Friday, and the death toll is expected to rise as dozens still have not been accounted for.
- 4 May 2024 - At least nine people, including seven children, were killed on Friday in a strike at a displacement camp in the eastern Congolese city of Goma, a local official and a military spokesman said.
- 4 May 2024 - Coast braces for strong winds and powerful waves
- 4 May 2024 - Ruto snubs Machogu, postpones reopening of schools
- 4 May 2024 - Cyclone Hidaya might be kind on Kenya but prepare for more rains
- 4 May 2024 - Court blocks senators' Sh500m oversight fund, calls for new rules
- 4 May 2024 - Confusion in Kenya Kwanza ranks worrying