Skip to main content
Skip to main content

Muungano wa maafisa wa Kliniki na Wataalamu katika kaunti ya Turkana wasitisha mgomo

  • | Citizen TV
    125 views
    Duration: 1:59
    Muungano wa maafisa wa Kliniki na ule wa Wataalamu wa maabara katika kaunti ya Turkana, wameafikiana kusitisha mgomo wao uliochukua muda wa siku tano baada ya serikali na miungano hiyo kutia saini mkataba wa makubaliano.