Skip to main content
Skip to main content

Muungano wa maaskofu watoa wito kwa serikali iwakabili wale wote walionyakua ardhi ya umma

  • | Citizen TV
    984 views
    Duration: 1:59
    Muungano wa maaskofu nchini wakiongozwa na askofu mkuu wa kanisa la GOA David Thagana Munyiri,wametoa wito kwa serikali iwakabili wale wote walionyakua ardhi ya umma na sehemu za chemichemi ya maji. Kulingana nao, mafuriko yanayoshuhudiwa nchini yametokana na unyakuzi wa ardhi za mikondo ya maji.