- 2,685 viewsDuration: 2:18Mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika Kaunti ya Trans Nzoia imesababisha majonzi na uharibifu mkubwa baada ya mtu mmoja kupoteza maisha kwa kusombwa na mafuriko. Na Kama anavyoarifu Collins Shitiabayi kutoka eneo la Namajalala, mto Sabwani ulivunja kingo zake na kuelekeza maji kwa kasi katika maeneo ya makazi.