- 145 views
Maeneo ya burudani jijini Nairobi yalifurika mkesha wa mwaka mpya, huku wateja wakimiminika maeneo hayo ili kuukaribisha mwaka mpya wa 2025 kwa mitindo mbali mbali.Biashara ilinoga kwa wamiliki wa vituo hivyo, ambao walisema mwaka 2024 ulikuwa mgumu kutokana na nyakati ngumu za kiuchumi zilizosababishwa na gharama ya juu ya maisha. Hata hivyo walielezea matumaini yao kwamba mwaka 2025 utakuwa wenye ufanisi. Katika jumba la mikutano ya kimataifa la Kenyatta KICC, wakenya walijitokeza kwa idadi kubwa kushuhudia maonesho ya kufana ya fataki. Ripota wetu Timothy Kipnusu anatupa taswira ya jinsi wakenya walivyoukaribisha mwaka mpya wa 2025.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mwaka mpya wa 2025 wakaribishwa kwa mbwembwe kote duniani
- 9 Jun 2025 - Ojwang was reportedly arrested on Saturday in Kakot, Homa Bay County, allegedly over a social media post on platform X.
- 9 Jun 2025 - Murang'a Governor Irungu Kang'ata revealed the county's strategic plans ahead of the upcoming Murang'a Invest 2025 conference, which will take place at Thika Greens Golf Resort on Friday, June 13 and Saturday, June 14.
- 9 Jun 2025 - A team of students from various universities here in Kenya who represented the country at the global ICT competition in China, were on Monday hosted at the National Assembly.
- 9 Jun 2025 - The Law Society of Kenya (LSK) has demanded transparency from the Inspector General of Police Douglas Kanja over the mysterious death of Albert Ojwang'.
- 9 Jun 2025 - During the ongoing inquest into the death of Rex Masai, a former Kamukunji Police Station Officer Commanding Station (OCS), Chief Inspector Robert Mugo, denied that police officers were involved in any civilian deaths during the June 2024 protests…
- 9 Jun 2025 - The autopsy on the body of the slain Albert Ojwang' will be conducted at 2pm, Monday June 9, following arrangements by parties involved in the unexplained case.
- 9 Jun 2025 - PS for interior Raymond Omollo has called for calm as a probe into the mysterious death of blogger Albert Ojwang’ in police custody is ongoing.
- 9 Jun 2025 - Albert Ojwang's incident has brought the need for Kenyans to understand the steps involved when one is being apprehended.
- 9 Jun 2025 - The Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP) has requested the court to intervene in the long-running Kianjakoma brothers murder case, citing persistent delays and the absence of one of the accused persons.
- 9 Jun 2025 - Search efforts to retrieve the bodies are currently ongoing.